Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Sawa, me ntakusaidia tu kutafuta pisikali za bei nafuu kidogo maana sidhani kama unaweza kuacha ๐๐Zozote utakazopenda kunifundisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, me ntakusaidia tu kutafuta pisikali za bei nafuu kidogo maana sidhani kama unaweza kuacha ๐๐Zozote utakazopenda kunifundisha
Kazi kwelikweli ๐๐Mgonjwa na uji?
Unajichetua undugu, acha zako ww. ๐Tatizo mimi sio pisi sasa [emoji23][emoji23]
Sijapata location mkuu, bado nashangaa shangaa mataa tuDah nawaza sana hapa nipe location mshikaji wangu wa nguvu
Basi endeleeni kumbarikiKazi kwelikweli ๐๐
Tatizo unapenda nyashLeo nimejaribu kukagua nguo zangu zote, karibia robo tatu zimepauka na zimepoteza mng'ao wake; nikawa najiuliza, hivi ni mimi equation x ndio huwa navaa haya mavazi?
Ama kweli, pisi kali zinatufilisi sana; tunajikuta tunahonga sana na kusahau kupendezesha miili yetu.
Nilikuwa najiuliza, kwa nini warembo wengi wanakuwa wana ning'ang'ania ng'ang'ania, mbaya zaidi hawaniletei zawadi za mavazi wala nini, zaidi ya kuniletea staili zao za popo kanyea mbingu n.k; kumbe walikuwa wanaangalia urahisi wa kufungua waleti.
Kwa sasa nimeshtuka, sitaki tena pisi kali, niacheni kwanza nami nivae nguo zinazong'aa, nionekane kijana; mambo ya kuonekana kama mzee mwenye miaka 90, sitaki tena huo ujinga.
Tutamsaidia kutafuta machimbo ya pisi za bei poapoa ili asave hela awe ananunua na nguo๐๐๐....vipi lakini unaendeleajeBasi endeleeni kumbariki
Unajichetua undugu, acha zako ww. [emoji53]
Sawa, me ntakusaidia tu kutafuta pisikali za bei nafuu kidogo maana sidhani kama unaweza kuacha [emoji2][emoji2]
Sifa ya pisi kali ni kujishusha thamani,Kweli mimi nipo nipo tu sijulikani naenda au narudi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivyo hivyo tutafumba machoTatizo mimi sio pisi sasa [emoji23][emoji23]
Hivyo hivyo hakuna shidaTatizo mimi sio pisi sasa [emoji23][emoji23]
Hawa wenzetu mbususu ni kitega uchumi ๐Ukiona unaitiwa fursa, juwa wewe ndio fursa ๐
Bora kupe kuliko midada ya mjini, inajua kunusa ukiwa na pesa unapendwa zaidi ya chochote na ukiishiwa nananusa hata simu zao huoni na ukiwapigia hawapokei au wakipokea wanaongea kwa mapizi.
Bora umeshtuka, mbususu hazina any return zaidi ya kuachiwa umasikini na magonjwa.
Mpende mmoja akuoendaye...kufa naye
Nataka tu nimsaidie jirani ๐๐๐๐Jirani umeanza lini udalali? [emoji23][emoji23][emoji23]
Niachie mm iyo kazSijapata location mkuu, bado nashangaa shangaa mataa tu
Sifa ya pisi kali ni kujishusha thamani,
Sema mi najua ukweli wote, [emoji108][emoji108][emoji108][emoji3526]
Pisi ya mkantri waid
Unitakii mema, huo sio uzalendoSawa, me ntakusaidia tu kutafuta pisikali za bei nafuu kidogo maana sidhani kama unaweza kuacha ๐๐