Hivyo hivyo tutafumba macho
Hivyo hivyo hakuna shida
Nataka tu nimsaidie jirani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji85]
Uzoefu wangu unanikumbusha shoshy
Warembo wanaishi mjini mjini kwa kufunua tu ujueWadada wa mjini walikupunyua [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sasaTafuta hela kijana pisi kali hazikimbiwi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa unataka nini πππ€·ββοΈπ€·ββοΈUnitakii mema, huo sio uzalendo
Mkono wa kulia utanenepa sana kuliko mkono wa kushoto; huko bakini wenyewe πkaribu chaputa hatuna mengi
ππΎsera yetu; 'sheria mkononi, amani moyoni'
View attachment 2672343
shida mi sio pisikali jirani π,, na venye hawapendi watu wafupi weusi waneneπ π πSi uchukue wewe dili hilo maana ushajua tatizo lake jirani [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanasema eti uko hivi...
View attachment 2672349
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weeeh.Tatizo mimi sio pisi sasa [emoji23][emoji23]
shida mi sio pisikali jirani [emoji2],, na venye hawapendi watu wafupi weusi wanene[emoji28][emoji28][emoji28]
Hapo sasa
Bahati mbaya kusema uongo sijui, wewe ni pisi kaliiKweli mimi nipo nipo tu sijulikani naenda au narudi [emoji23][emoji23][emoji23]
πππππππKwa uwezo wake mtawezana, alafu jirani nakujua acha kumtisha kijana ili asijiweke hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weeeh.