Lazima utazituma tu. Kwasababu now uko possessed. So unaweza kujikuta umewatumia na usijue umewatumiaje.Yaani wakianza kuomba hela wanaimba wote Kwa mara moja[emoji3] utadhani ni wameambizana na hawajuani. Apa nina mizinga kama mitano sijui nianze na upi niache upi
Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga Amna hatua ya maisha utapiga
Bora nyeto[emoji51]
😀😀😀Yaani ulituma bila kuombwaLazima utazitumia tu. Kwasababu now uko possessed. So unaweza kujikuta umewatumia na usijue umewatumiaje.
Nakumbuka kuna siku , picha ya dem ilikua ikizunguka akilini mwangu sana....nikajikuta nimemtumia kiwango kikubwa sana cha pesa , yani mpaka leo sijuagi niliitumatuma vipi ile hela!
#KundaliniSpirit
Ukiwa na demu mmoja? Saa ngapi utalalamika?Sio uzinzi ni mizinga yenu itatuacha wakavu
Mpe wa kwanza kuomba.Ngono uleta umasikini.Yaani wakianza kuomba hela, wanaimba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.
Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Inategemea na mizinga yake ni bei ganiUkiwa na demu mmoja? Saa ngapi utalalamika?
Maana mmoja sidhani kama atakuwa anaomba hela kila siku
Yes, hakuniomba kabisa. Tena Mimi nilijipeleka mpaka anapoishi...nikamtoa out...na kisha nikamrushia hiyo pesa...yaani..just like that!!!....and e'was a huge amount of money. Daah fear womenooohhh[emoji3][emoji3][emoji3]Yaani ulituma bila kuombwa
Gari kila siku inajazwa nini? Unaweka petrol lita 2 mpk kila siku uijaze?Wapo ambao Kila siku wanataka kujazwa kama gari
Karibu Chamanibora nyeto😬.