Pisi zitaniua

Pisi zitaniua

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
 
Yaani wakianza kuomba hela wanaimba wote Kwa mara moja[emoji3] utadhani ni wameambizana na hawajuani. Apa nina mizinga kama mitano sijui nianze na upi niache upi

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga Amna hatua ya maisha utapiga
Bora nyeto[emoji51]
Lazima utazituma tu. Kwasababu now uko possessed. So unaweza kujikuta umewatumia na usijue umewatumiaje.

Nakumbuka kuna siku , picha ya dem ilikua ikizunguka akilini mwangu sana....nikajikuta nimemtumia kiwango kikubwa sana cha pesa , yani mpaka leo sijuagi niliitumatuma vipi ile hela!

#KundaliniSpirit
 
Lazima utazitumia tu. Kwasababu now uko possessed. So unaweza kujikuta umewatumia na usijue umewatumiaje.

Nakumbuka kuna siku , picha ya dem ilikua ikizunguka akilini mwangu sana....nikajikuta nimemtumia kiwango kikubwa sana cha pesa , yani mpaka leo sijuagi niliitumatuma vipi ile hela!

#KundaliniSpirit
😀😀😀Yaani ulituma bila kuombwa
 
Aiseee
20221225_220905.jpg
 
Yaani wakianza kuomba hela, wanaimba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Mpe wa kwanza kuomba.Ngono uleta umasikini.
Ngono haijawahi kupatikana bure tangu kuumbwa kwa Dunia.
 
Back
Top Bottom