Pisi zitaniua

Pisi zitaniua

Yes, hakuniomba kabisa. Tena Mimi nilijipeleka mpaka anapoishi...nikamtoa out...na kisha nikamrushia hiyo pesa...yaani..just like that!!!....and e'was a huge amount of money. Daah fear womenooohhh

Nikiikumbukaga ile hela huwa naumia sana.
😂😂😂Pole sana boss ila si ilikua Kwa starehe zako
 
Yaani wakianza kuomba hela, wanaimba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Methali 6:26

Mtu hupoteza kipande cha mkate kwa malaya, lakini kwa mke wa mtu mwingine utapoteza uhai wako wote.
 
Yaani wakianza kuomba hela, wanaimba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Ukiwekeza kwenye pisi sahau hatua nazo utazikosa mbeleni. Wekeza sasa mbelen uwe unazibook tu
 
Back
Top Bottom