Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Watano wote na unawahudumia? Lazima ufilisike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkizinguana, siku ukileta pisi nyingine,anatoa mkeka, anaitwa wenzie wanakae nje ya mlango wako. Mtasemwa huko ndan mpaka basi 😅😅😅Unakua umejipiga Pini mwenyewe
Soma Biblia...Makahaba watakua wa kwanza kuingia mbinguniWahuni peponi na bilbia zao za kwenye simu? Neno la mungu linakaa moyoni 🤣🤣 sio neno la kugugo
Haya ni mambo ya bwana Analyse na Melki the StorytellerUhuni ndio uzinzi wenyewe huo
Mtaa mzima unataka uloweke wewe
Lazima kitu kikukute
Ngoja nikupe kuhani mwingine mama D na huyu Jemima MremboHao ni watu, mie na wewe ndio wanadamu 🤣🤣🤣🤣.. nakupitia mwanadamu twende tukakusanye kondoo waliopotea
Comenti imekaa ki uwabataBinafsi pesa yangu Bora nitumie yote peke yangu kuliko kumpa Mwanamke tofauti na Mama Mzazi yaani nionge pesa kisa uchi labda Kama sio Mimi
Namshukuru Mungu Sana kaniumba tofauti yaani Mimi ujinga Sina. Kwanza nikiangalia mtaani watu wanavyoteseka eti nimpe Mwanamke pesa aisee Bora niitwe majina yote bahili , mchoyo nk kuliko kumpa pesa Malaya au demu wangu
Tumeambiwa tuhubiri injili kwa kila kiumbe..Ngoja nikupe kuhani mwingine mama D na huyu Jemima Mrembo
Wataje hao kondoo hapaNina kondoo wengine ambao hawamo kwenye kundi hili hapa. Hao nao napaswa kuwaongoza. Kwani wataisikia sauti yangu. Baadaye kutakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.
Mwanadamu.. huu ndio andiko la leo tutapo enda kuhubiri na kuokoa nafsi za watu waliopotea