Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Dk 20 ni kikao?Mkuu nishatoa pis moja huko loliondo ukoo wa ng'aida, ilikuja kwa nauli yake na kurudi😅😅😅
Hii nayo jana niliikalisha kikao cha simu dk 20+ ikakubali kuja yenyewe
View attachment 2530435
Lenie simu zako za masaa mawili mpk voda wanakukatia automatic niziiteje?