Pisi zitaniua

Pisi zitaniua

Nime end relationship, but naumia i learned to love her, miaka miwili na nusu mingi sana.... But I end up today...
We em tulia
Usiendeshwe na hisia
Zitakuletea makasiriko na chuki

We ungekuwa unampenda ungetulia na kujaribu kumrekebisha. Lkn ukachagua kumla shoga ake
 
Second mistake to your main chick.

Too much love feelings display from Man to any Woman is also very dangerous to your own family domination, hence it will automatically expose your weaknesses towards disrespect you consequently.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
hahaha fact, although i love her but I always make harsh decision cause I am always in my full and right mind...

For example I ended the relationship with her previously and I was owky with that.....until she came back her self....

Sometimes we show love only because we don't want to jump from person to person that's too risk
 
We em tulia
Usiendeshwe na hisia
Zitakuletea makasiriko na chuki

We ungekuwa unampenda ungetulia na kujaribu kumrekebisha. Lkn ukachagua kumla shoga ake
Nooo I tried everything on this lady...

Kunasiku amewahi kuja room akanikosa I was at bank kumtolea yeye mwenyewe hela.....nafika akanuna eti I was with other girls cause mitaa ya hiyo bank kuna alot of beautiful girls ...

I always save my struggling, I can send here nilivyompambania over this year....habadiliki...

Over a year she is the same...
Yote hiyo cause nilimpa a big title sana na nilimruhusu vingi, so imejengea hali ambayo nahisi yeye inamtesa pia....I once ask her hivi unatreat hv kwa kufikiri siwezi pindua au?....

I tried everything sis, everything... sijisifii but I know I would have been the right man for her cause najua kwake nisingeweza zingua....kunakipindi officn I was close to one of the most beautiful girls yan huyo girl alimzidi mainchick kuanzia Sura, rangi, hadi status but I choose my mainchick cause tumetoka mbali
 
hapana sio kumkomesha....mfano mimi kuonana na girl nikampenda ni ngumu na majukumu yanabana

Sasa katika maumivu yale ndio nikamuona bestie ake.... tena siku yenyewe mainchick alihitaji viatu nikamwambia mama naomba nikakununulie mimi then nije nikuone alikuwa kwa wazazi that day, akasema anaweza asitoke so nimpe bestie friend atanunua mm nisihangaike

Bestie friend nikamtumia and sasa akawa anashangaa y friend ake anafanya maujinga yale .. the day I and bestie met nilienjoy sana, she breath positivity.... Upstairs she is so great na alikuja na makanga na ndala (I like simplicity)

Nikaanza date nae 3 week later baada ya kutotafutana na mainchick but ghafla amerudi tena
Bado nina wasiwasi na hili chaguo lako la pili ingawa huwa sipendi saaana kuwa mshauri katika mahusiano maana hatma ya maamuzi huwa juu ya anayeshauriwa.

Karne tuliopo tunaviziana sana, ikiwa walikuwa Marafiki huwezijua kwa namna gani alikuwa anaibiwa siri juu ya mahusiano yenu na wakati huo your second choice alikuwa akidadisi udhaifu wa your first choice kwa "kipi unachopenda na usichopenda"

Ke wana akili sana kutuzidi sisi Me isipokuwa tunawazidi upeo tu, so huenda second choice ilikuwa ikiombea mtikisiko wa mahusiano yenu na kutembelea ile inshu ya "once you get a target make it the real goal"

Asikudanganye Mtu hakuna upendo usiopitia changamoto isipokuwa zinapozidi husababisha kukosa uvumilivu na kuishia njiani.

Maamuzi sahihi ni wewe mwenyewe, lakini mpaka sasa mi niko 50% per 50% both sides.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nooo I tried everything on this lady...

Kunasiku amewahi kuja room akanikosa I was at bank kumtolea yeye mwenyewe hela.....nafika akanuna eti I was with other girls cause mitaa ya hiyo bank kuna alot of beautiful girls ...

I always save my struggling, I can send here nilivyompambania over this year....habadiliki...

Over a year she is the same...
Yote hiyo cause nilimpa a big title sana na nilimruhusu vingi, so imejengea hali ambayo nahisi yeye inamtesa pia....I once ask her hivi unatreat hv kwa kufikiri siwezi pindua au?....

I tried everything sis, everything... sijisifii but I know I would have been the right man for her cause najua kwake nisingeweza zingua....kunakipindi officn I was close to one of the most beautiful girls yan huyo girl alimzidi mainchick kuanzia Sura, rangi, hadi status but I choose my mainchick cause tumetoka mbali
Si umesema mmeachana leo? Basi kunywa maji.. na usahau yote.
 
Bado nina wasiwasi na hili chaguo lako la pili ingawa huwa sipendi saaana kuwa mshauri katika mahusiano maana hatma ya maamuzi huwa juu ya anayeshauriwa.

Karne tuliopo tunaviziana sana, ikiwa walikuwa Marafiki huwezijua kwa namna gani alikuwa anaibiwa siri juu ya mahusiano yenu na wakati huo your second choice alikuwa akidadisi udhaifu wa your first choice kwa "kipi unachopenda na usichopenda"

Ke wana akili sana kutuzidi sisi Me isipokuwa tunawazidi upeo tu, so huenda second choice ilikuwa ikiombea mtikisiko wa mahusiano yenu na kutembelea ile inshu ya "once you get a target make it the real goal"

Asikudanganye Mtu hakuna upendo usiopitia changamoto isipokuwa zinapozidi husababisha kukosa uvumilivu na kuishia njiani.

Maamuzi sahihi ni wewe mwenyewe, lakini mpaka sasa mi niko 50% per 50% both sides.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mainchick hata staha tu ya maneno anakosa...

Nilijitahidi sana kumbadilisha mkuu... Mimi sio muongeaji so ukiona hadi nasema I sat her down kumuelekeza ujue I did my best ....

I don't think I deserve this bestie but she is a God sent mkuu....she knows things, knowledge wise she is so good....upendo huja tu

Things are tough both ways, but God is good, if it does not work I will go ...I have tried for about 7 months to fix things (7 months) na mtu unaona ndo kwanza anaona huna akili...

Mainchick sio mkubwa kihivo yupo 21 23 so unamuona hajamaliza stage flan japo yeye amezidi.
 
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Ebwana halafu kweli kabisa huwa sijui wanaturoga..mimi nikiwa na pesa tu ni kama wananusa wakiwa huko walipo.
Ila ni mwendo wa mikazo mikazuo
.ukiitaka sharti uifuate
 
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Lipa marejesho hayo
 
Sitaki kublock watu wapya
Okoteza okoteza kila unachoona kinaaandikwa, we beba.
For what exactly 🙄 is this all about you? Am sorry gee sikua na maana ya ku insult mtu🚮
 
Back
Top Bottom