Pita hapa kama unataka kujua chochote kuhusu biashara Kampala

Mimi nataka kujua kwamba,nasikia Biashara ya Mitumba yote viatu au nguo zinazuiwa na ukikamatwa nazo hizo Biashara ni kesi na ikithibitika Unafungwa,je ni kweli?
 
Mimi nataka kujua kwamba,nasikia Biashara ya Mitumba yote viatu au nguo zinazuiwa na ukikamatwa nazo hizo Biashara ni kesi na ikithibitika Unafungwa,je ni kweli?
Khaa ngoja tufuatilie tujue, inawezekana
 
Mm nahitaj kujuaa Miwan saa za kiume na kike Na Wallet Za kiume Na kike zinapatikana. Mahali gani huko Na bei zake ziko jee... Jee zko chini kidogo kuliko Nairobi..
 
Wakuu nilienda Kampala wiki iliyopita kwa safari ya kwanza na nimerudi na kitu hicho juu [HASHTAG]#smartworldagency[/HASHTAG]
Njoo PM kwa maelezo zaidi
 
 
Kwa hiyo unataka kusema Kampala kuna bidhaa (eg. Nguo) kuliko Dar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…