TRA hawakamati vipodozi ila TFDA na TBS.Naona jamaa wapo strict mbaya kuzuia vipodoz na madawa yaan border hupiti yaan wale TRA utashangaa wanafata moja kwa moja begi lako na faini utakayopigwa hapo ni balaaa.....Tahadhari tu ukitaka pga hizi dili kuwa mjanja na make your way CLEAR....
Pole ulipigwa ndole kuwa makini nchi za watu wamama tunawekaga kwenye sidilia kuongeza umakini zaidikiongoz kuwa makini aseee nliwah kuzama siku moja nkapata kipozeo htr tumepga gambe na kucheza badae naona passport iko chini kumbe napekuliwa mifuko iko nje daaah nlimzingua akatetewa na waganda nikawa mpole badae napepesa chini mazaga yangu ya mfukon katoa katupa chn pesa tu ndio aliambulia 50000 ya kiganda..Nliwaza sijui ningerudi vp Tz chezea msala wa Passport
mmmmhhh nilishuhudia jamaa akifilisiwa Mtukula kwa kuingiza viuadudu Tz. Kwa kifupi Waganda wako vizuri kwa kila bidhaa ila huku tumebaki na propaganda ya amani huku wezetu wakisonga mbele.Bidhaa za kilimo zipi?? Pembejeo au zana?? Na kama ni zana, zana zipi unahitaji??
Mpesa ni bonge la biashara hasa ukipata ofisi kwenye stand ya mabasi yanayosafiri nje ya UgandaVp khs km Tigo pesa au mpesa
Waganda tuwadharau tu wakiwa hapa Tz lkn wako juu kibiashara na sifikirii kama tutawapataBiashara Kampala imesimama kweli husisani nguo za kike Dsm bado hawajawafikia hawa Waganda..nguo zao zina quality nzuri kuukweli pia wana lugha nzuri ktk biashara kiasi kwamba unapenda ww mwenyewe kuhudumiwa mpk wacongo na Kenyan wengi sana wanaenda kushopping Uganda ukienda lazma utamani kurudi
Wakuu natarajia kuwa na safari ya Kampala mwanzoni mwa mwezi wa kumi na mbili . Lengo la safari hii ni kuangalia mazingira ya biashara kwa ujumla ikijumuisha gharama za vitu, usafiri, accommodation pamoja ushuru na taratibu za border. Ni muda mrefu sijaenda huko. Kama utakuwa unataka kujua lolote karibu.[HASHTAG]#Mrmitumba[/HASHTAG]
Kuhusu nguo za specialOyooooo nimerudi wakuu, nina mengi sana kuhusu Kampala, ila kwa biashara jamani waganda wametuacha mbali sana yaani bongo bado sana, kuhusu Bata je? Hahahaha kuhusu Bata la kule dah sirudii tena, bata la Kabalagala(De Posh Pub), Club Ange Noir etc khaa bongo bado sana
Kama ni kuhusu dawa (viuatilifu) achana na Uganda, Waganda wenyewe hununua upande wa Tz ili kuepuka kununua feki.mmmmhhh nilishuhudia jamaa akifilisiwa Mtukula kwa kuingiza viuadudu Tz. Kwa kifupi Waganda wako vizuri kwa kila bidhaa ila huku tumebaki na propaganda ya amani huku wezetu wakisonga mbele.