CHARLES KIHOMBO
Member
- Feb 28, 2014
- 76
- 19
Mimi nimemaliza form 4 mwaka 2013 na matokeo yangu ni divn 4.point 32 na ninataka kusoma ualimu.Ninaomba ufafanuzi kwa aliyelielewa tangazo la wizara ya elimu kuhusu ualimu.kwa matokeo yangu nitasoma kwanza mafunzo kabilishi au ualimu moja kwa moja? msaada tafadhali
Kwhyo jamani inamaana kwa point zangu cwez kupta chochote kabisa hata kilimo na mifugo ciwez kwenda na vi D vyangu vya physics,chemistry na biology?
Mwalimu wa degree analipwa ngapi sikuhizi? Kwa mwenye kujua atujuze
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
lakini kwanini wizara hawakuitolea ufafanuzi hii four ya 32?, au tuseme aliyechapa tangazo aliiruka?Sikiliza mdogo wangu nikwambie! kwanza umejitahidi kupata hizo marks, ni wengi wameztaman ila hawakupata, Wizara imesema inachukua alama za chini za IV ya "33 & 34" kwa usemi huo wewe vigezo unavyo, cha msingi lipa hyo 10000 yao kwa Mpesa then nenda ukafanye registration! hao wanaokwambia umefeli achana nao, ww fuata tu ndoto zako! usome hyo baadaye ujiendeze ili ukawe hata mwl wa chuo
Sikiliza mdogo wangu nikwambie! kwanza umejitahidi kupata hizo marks, ni wengi wameztaman ila hawakupata, Wizara imesema inachukua alama za chini za IV ya "33 & 34" kwa usemi huo wewe vigezo unavyo, cha msingi lipa hyo 10000 yao kwa Mpesa then nenda ukafanye registration! hao wanaokwambia umefeli achana nao, ww fuata tu ndoto zako! usome hyo baadaye ujiendeze ili ukawe hata mwl wa chuo