Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
*Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo, Chizi mwingne naye akaenda hukohuko, alipofika dampo akakuta mlevi kalala matako wazi, chizi akaanza kuyashikashika huku akisema, kweli duniani kuna watu matajiri, haya matako si mazima kabisa wao wameyatupa!*[emoji38][emoji38][emoji38]
Kuwa na mahusiano halafu wote wembamba kwa mbali mkiwa mnatembea huku mmeshikana mikoni mnakuwa Kama herufi 'H'[emoji3]
Binti: Baba naombaa niende nikajisomee kwa rafiki yangu!!Baba: Pumbavu mkubwaa kaa hapo, ujisomee hata mama yako alikuwa anaaga hivo hivo halafu anakujaa [HASHTAG]#Ghetoni[/HASHTAG] kwangu!!! [emoji38][emoji38][emoji38]
*Unatafuta mwanaume mrefu, awe na *_six pack na kazi nzuri_* lakini baba yako vigezo vyote hivyo hana,lakin amekulea mpaka umekuwa. *Je mama yako ni mpumbavu kuwa na mahusiano naye?* _*msitushinde mbuzi nyie.*_
Wale Wanaojifanyaga Akina Sharkhan Halafu Hawana Hela Ndo Wamewashiwa Simu Sasa Hivi Na Kuambiwa "Baby Umeme Ulikatika Siku Nzima Na Simu Haikuwa Na Chaji.." [emoji23][emoji23][emoji23] Daah Hadi Huruma..[emoji23][emoji23]
Ongezea na wewe tucheke.....
Kuwa na mahusiano halafu wote wembamba kwa mbali mkiwa mnatembea huku mmeshikana mikoni mnakuwa Kama herufi 'H'[emoji3]
Binti: Baba naombaa niende nikajisomee kwa rafiki yangu!!Baba: Pumbavu mkubwaa kaa hapo, ujisomee hata mama yako alikuwa anaaga hivo hivo halafu anakujaa [HASHTAG]#Ghetoni[/HASHTAG] kwangu!!! [emoji38][emoji38][emoji38]
*Unatafuta mwanaume mrefu, awe na *_six pack na kazi nzuri_* lakini baba yako vigezo vyote hivyo hana,lakin amekulea mpaka umekuwa. *Je mama yako ni mpumbavu kuwa na mahusiano naye?* _*msitushinde mbuzi nyie.*_
Wale Wanaojifanyaga Akina Sharkhan Halafu Hawana Hela Ndo Wamewashiwa Simu Sasa Hivi Na Kuambiwa "Baby Umeme Ulikatika Siku Nzima Na Simu Haikuwa Na Chaji.." [emoji23][emoji23][emoji23] Daah Hadi Huruma..[emoji23][emoji23]
Ongezea na wewe tucheke.....