Kwahiyo kwasababu hiyo habari umeipata AIDSthruth.com basi ndio umeiamini kwamba ni kweli?.....he he heee...wewe bado hujui mambo mengi sana na unahitaji kupata shule nzito..
swali:Hivi Huwezi kupata pneumonia na fangasi za mdomoni kwa njia nyingine zaidi ya huyo Mungu HIV?
halafu angalia ulivyosema hapo juu,eti hayo matatizo 'yanahusishwa' na HIV....hata hao unaowaamini wenyewe hawana uhakika.....wangesema yamesababishwa na huyo kibwengo HIV labda ndio ingeleta maana kidogo ingawa bado ni Uongo tu.....kuhusishwa haina maana ya kusababishwa kijana....inabidi usome btn lines ili uweze kuelewa.....hiyo historia ya huyo binti Sidhani kama unaijua vizuri.....pia inabidi ujiulize kwamba,nini sababu halisi ya hawa watu wenye mitazamo tofauti katika suala hili kupigwa vita?
sayansi huendelea kukua kutokana na kukinzana,kupingana hoja,kujadili mitazamo tofauti....sasa kwanini wale wenye mitazamo tofauti wanapigwa vita?...ulishawahi kujiuliza swali hilo na kupata Jibu lake?...hebu jitoe kwenye cage ulimofungiwa halafu uanze upya kutafuta ukweli wa jambo hili....
Jibu hilo swali kwanza,halafu tutakuja kuangalia historia ya huyo dada tuone kama kweli unajua ukisemacho.