Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kutoka Dar kwenda kwa msisi basi unapanda wapi?Wakuu,
Maisha ni fumbo, maisha ni gumzo.
Tusipende kubeza watu kutokana na wanayoyapitia na wanayoyaongelea kwa maana haujayapitia.
Karibuni kwa story mbali mbali wakuu
Huyo boya mbona alishindwa kujinasua yeye msalabani1.,..........
2.Namna nilivyojinasua -nilimuomba Yesu anisaidie ,Yesu akanisikia akanisaidia akanihurumia na akanisaidia na kuniponya na kuniokoa bure.YESU PEKEE NDIYE MWOKOZI Aliyeniokoa.
DuuuhHuyo boya mbona alishindwa kujinasua yeye msalabani
Hata kama si imani yako..hupaswi kabisa kuandika hivyo..Huyo boya mbona alishindwa kujinasua yeye msalabani
Duh poleNilishapitia majanga mengi ikiwemo ajali,kupoteza kazi,kucheleweshwa for no reason eti jina limerukwa just for no reason. Ila sikuwahi husisha na ulozi japo wengi waliamini hivyo na kunishauri kwenda kuchungulia kwa wataalam ila nikawapuuza tu japo hadi wife nae alikubaliana nao. Ilikua miaka mitano ya moto haswa...kulala njaa kawaida,watoto kukaa mwezi home bila ada ilikua kawaida,mwenye nyumba kuja kufunga nyumba yake ilikua kawaida..ila ubishi ulinisaidia pamoja na imani yangu..sikuwahi hata kanyaga kwa maprophet ila nilisali mwenyewe tu hadi nikainuka tena..na kila mtu anashangaa nilivoinuka na kusimama hata zaidi ya awali. Ukiamini ni ulozi inakua hivyo,usipoamini inakua hivyo pia. Japo kweli hizo case zipo
Na ya wife pia. Yeye ndo alikua anaongoza kuomba. Mi nilikua nachukulia ni mapito ya maisha tu huku nikimuomba Mungu kimyakimyaDuh pole
Naamini maombi yako yalifanya kazi
Haimaanishi kuyashuhudia sijawahi maana nimekulia uswahilini 😄Hongera mkuu