Stability
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 306
- 706
- Thread starter
- #21
Hongera mkuu1.,nilishambuliwa na nguvu za giza(ulozi ushirikina)
nilijaribu kwenda kutibiwa kwa waganga wengi sana wa kienyeji pamoja na kutambika mizimu bila mafanikio yoyote....
2.Namna nilivyojinasua -nilimuomba Yesu anisaidie ,Yesu akanisikia akanisaidia akanihurumia na akanisaidia na kuniponya na kuniokoa bure.YESU PEKEE NDIYE MWOKOZI Aliyeniokoa.