joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
ni vile wewe umeona hivyo ila sioni kweli kwenye hoja yakoKusoma haya mavitabu kunafanya watu wengi kutoamini uwepo wa Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni vile wewe umeona hivyo ila sioni kweli kwenye hoja yakoKusoma haya mavitabu kunafanya watu wengi kutoamini uwepo wa Mungu
Ni kweli kwa kiasi ukisoma sana vitabu,unaanza ku question vitu vingi sana,sio kwasababu vitabu ni vibaya,bali kwasababu akili inakuwa imepanuka,unajaribu kutafuta reasons kwenye mambo mengi.Kusoma haya mavitabu kunafanya watu wengi kutoamini uwepo wa Mungu
Ukisoma kitabu cha Mark Manson "EVERYTHING IS FUCKED" lazima mtazamo wako kwenye mambo ya dini utakuwa tofauti.ni vile wewe umeona hivyo ila sioni kweli kwenye hoja yako
Karibu sanaNimependa sana. Nitaanza kusoma vitabu kuanzia sasa.
Hard copy ni rahisi sana kusoma, nilinunua kitabu cha page 197 nilikisoma siku mbili tu,ila kwenye simu sasa,labda ningemaliza week mbili.Sijui kwanin nakuwaga mvivu kusoma ila ninapenda alafu kwenye simu ndio kbsaa bora hardcopy.
ninaweza kuusoma nikakubali au kukataa maana sidhani kama unahitaji kuapply kila kitu unaona kwenye vitabuUkisoma kitabu cha Mark Manson "EVERYTHING IS FUCKED" lazima mtazamo wako kwenye mambo ya dini utakuwa tofauti.
Upo sahihi pia, sijasema ni lazima ku apply kila kitu,namaanisha baada ya kusoma lazma kuna ideas mpya utazipata,na ubongo utakuwa unawaza tofauti kwa kiasi fulani.ninaweza kuusoma nikakubali au kukataa maana sidhani kama unahitaji kuapply kila kitu unaona kwenye vitabu
asante kwa Muongozo mkuuUpo sahihi pia, sijasema ni lazima ku apply kila kitu,namaanisha baada ya kusoma lazma kuna ideas mpya utazipata,na ubongo utakuwa unawaza tofauti kwa kiasi fulani.
Nakuomba inbox mkuu samahaniHivi ni baadhi ya vitabu ambavyo ninavyo kwenye simu yangu,zote ni Epub na Mobi,na hiyo application ni Moon +Reader View attachment 3095838
Hicho mkuu.Natafuta kitabu Cha JOHN MASON..you are born original, share with please
UbarikiweHicho mkuu.
View attachment 3096059
Kiweke mkuu sisi watu tunaoamini Dini hatuogopi kusoma vitu tofauti kwa sababu kilichotufikisha kwenye imani ya Dini ni kusoma hukohuko,so haimake sense mtu akaogopa kusoma Ideas mpya eti kwa kuhofia atamkataa Mungu.Ukisoma kitabu cha Mark Manson "EVERYTHING IS FUCKED" lazima mtazamo wako kwenye mambo ya dini utakuwa tofauti.
Upo sahihi kabisa mkuu,nitakiweka hapaKiweke mkuu sisi watu tunaoamini Dini hatuogopi kusoma vitu tofauti kwa sababu kilichotufikisha kwenye imani ya Dini ni kusoma hukohuko,so haimake sense mtu akaogopa kusoma Ideas mpya eti kwa kuhofia atamkataa Mungu.
Ukiona mtu anaogopa kusoma vitabu kwa hofu hiyo basi mtu huyo imani yake hakuipata kwa maarifa bali aliipata kwa ujinga wa kukaririshwa tu.
Weka hicho kutabu wadau tuzame humo
🤫Kiweke mkuu sisi watu tunaoamini Dini hatuogopi kusoma vitu tofauti kwa sababu kilichotufikisha kwenye imani ya Dini ni kusoma hukohuko,so haimake sense mtu akaogopa kusoma Ideas mpya eti kwa kuhofia atamkataa Mungu.
Ukiona mtu anaogopa kusoma vitabu kwa hofu hiyo basi mtu huyo imani yake hakuipata kwa maarifa bali aliipata kwa ujinga wa kukaririshwa tu.
Weka hicho kutabu wadau tuzame humo
Hivi ni baadhi ya vitabu ambavyo ninavyo kwenye simu yangu,zote ni Epub na Mobi,na hiyo application ni Moon +Reader View attachment 3095838
Everything is https://jamii.app/JFUserGuide,the book about hopeView attachment Everything Is Fcked (Mark Manson) (Z-Library).pdfKiweke mkuu sisi watu tunaoamini Dini hatuogopi kusoma vitu tofauti kwa sababu kilichotufikisha kwenye imani ya Dini ni kusoma hukohuko,so haimake sense mtu akaogopa kusoma Ideas mpya eti kwa kuhofia atamkataa Mungu.
Ukiona mtu anaogopa kusoma vitabu kwa hofu hiyo basi mtu huyo imani yake hakuipata kwa maarifa bali aliipata kwa ujinga wa kukaririshwa tu.
Weka hicho kutabu wadau tuzame humo
Mbona kama umeshtuka mkuu[emoji3][emoji2958]