Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,264
- 835
Huwa siangalii bongo footballkaribu tarehe 27 machampions wamewaaliika mazembe na alhy hilal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa siangalii bongo footballkaribu tarehe 27 machampions wamewaaliika mazembe na alhy hilal
hahhaahahaha derpotivo LA utopoloHuwa siangalii bongo football
Natania mkuu. Simba haina mambo ya hovyo kiasi hicho.Uko serious kabisa?au unatania??
Utopolo haachi kuchomekea yake!! Sawa Bwana!Moja ya vigezo vya kocha anayetakiwa: (1)awe anajua kutumia tunguri kwenye soka, au angalau (2)awe tayari kuruhusu paka atumike kama 'game changer' pale yeye kocha anapofeli.
Hii ndio maana ya kulijua African soccer analozungumzia Pitso.
Ingekua mpira ni kutumia paka na tunguli tu huko Sumbawanga wangekua na team kubwa kuliko simba na yangaMoja ya vigezo vya kocha anayetakiwa: (1)awe anajua kutumia tunguri kwenye soka, au angalau (2)awe tayari kuruhusu paka atumike kama 'game changer' pale yeye kocha anapofeli.
Hii ndio maana ya kulijua African soccer analozungumzia Pitso.