Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
CCM hasa hao walio kwenye USUKANI, ni kama wamepagawa..UTU na HAYA zimewatoka kabisa...MAMBO YA AJABU kabisa tunayayashuhudia miaka hii ya 2016- 2024Kaongea point,hawa CCM sijui wanajiona ni nani
Na hivi kazi ya Msajili wa Siasa huwa ni NINI?..haya maupuuzi hayamgusi?..dah