Tatizo la watanzania ni hili, tunafikiri kila sisi tunachokijua kila mmoja anatakiwa kukijua.
Unapotoa comment mtu akakuuliza bila kejeli wala ubishani, nilitegemea ungeweza kujibu moja kwa moja kwa kunieleza hayo bila kuanza kuniuliza umri.
Unadhani kwa umri wako unajua vyote ambayo wenziyo wa umri huo wanajua?
NB: Zitto hakumaliza muda wa Bunge akiwa Mbunge, shauri lake lilitupiliwa mbali na Mahakama, na alikuwa na nafasi ya kukata rufaa lakini hakufanya hivyo.
Zitto alikoma kuwa Mbunge na kujikita kwenye harakati za chama chake, nadhani ile ruling ilikuwa ya March 2015.
Je, na mimi nikuulize umri kwa kutojua hili?