Pixie Oranges, Kiwi, Blueberries, Lemons, Dragons na Lime ni matunda yenye feature kubwa sana

Pixie Oranges, Kiwi, Blueberries, Lemons, Dragons na Lime ni matunda yenye feature kubwa sana

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Katika Orodha hio sijataja traditional fruits kama Ovacado na Mangoes kwa sababu hayo yanapatikana kwa wingi sana na hatu import kutoka nje ya nchi.

Hayo nilio yataja tuna import kwa kaisi kikubwa sana na tunalima kwa kiwango kidogo sana au hatulimi kabisa.

Nchi kwa sasa inakimbilia kwenye middle class kwa kasi na pia kuna muingiliano wa watu yaani foreigners ni wengi sana Tanzania kuliko wakati mwingine ule.

1.Pixie Oranges hizi ni chungwa tuna import kutoka South Africa kwa wingi sana, hivyo ni moja ya matunda ya baadae au ya kuwekeza. Pixie Oranges huwezi linganisha na zile chungwa zetu za muheza Tanga.
images - 2024-12-15T100017.872.jpeg


2.Kiwi, hili tunda lina demand kubwa sana hasa miongoni mwa foreigners ingawa ni complicated sana kulima kiwi, ni tunda gumu sana kulima kulinganisha na matunda mengine, ila pia Kiwi ina life span kubwa sana.
images - 2024-12-15T095922.779.jpeg


3.Blueberries.
Blueberries ni moja ya matunda ghari sana na pendwa sana na wageni na wale watu wa mbele, Blueberries pia tuna import ingawa pia tunalima kwa kiasi fulani hasa huku kaskazini hasa Kilimanjaro. Blueberries ni matunda ghari sana na ambauo yana feature ya kueleweka sana.
images - 2024-12-15T100047.551.jpeg


4.Lemons
Limao zina demand ya juu sana na bahati mbaya Tanzania sana watu wana miti michache michache, ila limao zina demand hapa kuna pia aina za limao na sana tuna import seedless lemons, kuna wakati tunatoa Uganda. Limao bado tuna bustani zake hatuna mashamba makubwa ya limao. Kwenye limao kuna varieties nyingi sana zenye soko.
images - 2024-12-15T100132.856.jpeg


5.Lime

Lime pia kama ilivyo limao ni tunda lenye demand kubwa sana na ambalo pia sisi tunalima kwa kiwango kidogo sana, tuna bustani hatuna mashamba makubwa ya lime kama ilivyo lemons.
images - 2024-12-15T100154.080.jpeg



NB: Kuna varieties nyingi sema hizo atlest ndio common kiasi ingawa varieties za matunda ni nyingi sana.
- Aina sa zabibu, kuna zabibu aina nyingi sana na hata zinazo uzwa mashop makubwa ni imported kutoka nje kama asia Egypt na lebonon huko.

Varieties zote hizo ni za muda mrefu kuanzia miaka 20 na kuendelea yaani life span zake.
 
Mkuu huvi matunda damu yanaweza tumika kama mbadala wa limau. Ila yakiiva yana kasukari kwa mbali kama limao.
Hayo malimau yana msimu au mwaka mzima ? Nini kinafanya limao lizae mwaka mzima ?
Soko lipo wapi ?
 
Kilimo Cha limao au citrus za aina zote kinalipa sema wakulima Bado hawajakishtukia.

Ni zao jepesi mno kulima, ila linahitaji maji ilikuzalisha marakwamara.
NB. Citrus sio zao la msimu hili kukiwa na maji hasa drip irrigation umewinn.
 
Kilimo Cha limao au citrus za aina zote kinalipa sema wakulima Bado hawajakishtukia.

Ni zao jepesi mno kulima, ila linahitaji maji ilikuzalisha marakwamara.
NB. Citrus sio zao la msimu hili kukiwa na maji hasa drip irrigation umewinn.
Yes mkuu
 
Machungwa unaweza pata ila pia kama unataka kufanya kilimo kikubwa sana bora uoteshe limao then ubakuja ku graft chungwa hizi za pixie. Pixie inagraftiwa juu ya limao. Sema vikonyo vyake kuvipata kwa wingi labda Kenya eneo la makueni
kugraft ndio kufanyaje?
 
kugraft ndio kufanyaje?
Kugraft ni mchakato wa kuchukua kipande cha mmea mmoja (kinachoitwa scion) na kukiunganisha kwenye mmea mwingine (rootstock) ili viweze kuendelea kukua kama mmea mmoja. Ni kama "kupandikiza" sehemu moja ya mmea kwenye mmea mwingine ili kuchanganya sifa zao.

Kwa mfano: Kama una mti wa maembe ambayo hayana ladha nzuri lakini yana mizizi imara, unaweza kugraft tawi kutoka kwa mti mwingine wa maembe yenye ladha nzuri ili upate maembe bora kwenye mti wako.

Ni njia ya kuboresha mazao, kuongeza ubora wa mimea, au kuhakikisha mimea inaendana vizuri na mazingira fulani.
 
Kugraft ni mchakato wa kuchukua kipande cha mmea mmoja (kinachoitwa scion) na kukiunganisha kwenye mmea mwingine (rootstock) ili viweze kuendelea kukua kama mmea mmoja. Ni kama "kupandikiza" sehemu moja ya mmea kwenye mmea mwingine ili kuchanganya sifa zao.

Kwa mfano: Kama una mti wa maembe ambayo hayana ladha nzuri lakini yana mizizi imara, unaweza kugraft tawi kutoka kwa mti mwingine wa maembe yenye ladha nzuri ili upate maembe bora kwenye mti wako.

Ni njia ya kuboresha mazao, kuongeza ubora wa mimea, au kuhakikisha mimea inaendana vizuri na mazingira fulani.
Daah ndio.nasikia leo!!!
Kweli bado tuna tongo tongo asee
 
Back
Top Bottom