PKK/YPG wameanza kukamatwa huko Syria

PKK/YPG wameanza kukamatwa huko Syria

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Nini hatima ya PKK/YPG huko Syria ?



PKK.png
 
Miongoni mwa watu walichelewa kuosoma mchezo ni Kurds!

Walipaswa wamsaidie Assad!

Hizbollah imezungukwa, lazima kuwe na mzozo mpakani!

Israeli inaweza kufurahia kwa muda hili, lakini mwisho lazima vurugu itokee!

US yenyewe haiko salaam kwenye hili! Syrian itageuka role model wa jihadists na matokeo ya hayo yatawagusa US pia!
 
Miongoni mwa watu walichelewa kuosoma mchezo ni Kurds!

Walipaswa wamsaidie Assad!

Hizbollah imezungukwa, lazima kuwe na mzozo mpakani!

Israeli inaweza kufurahia kwa muda hili, lakini mwisho lazima vurugu itokee!
Nimetoka kuona taarifa kutoka Wion kama 2 hours ag9 kuwa vikosi vya israel vimevuka mpaka na kuingia syria.
Sasa ndio kwanza kazi imeanza. Washamuondoa their common enemy, wataanza kudundana wao kwa wao kugombea madaraka hawa waasi.
 
Wasiojulikana waliokuwa wanatumia na Assad
The People's Defense Units (YPG), also called People's Protection Units, is a socialist US-backed Kurdish militant group in Syria and the primary component of the Syrian Democratic Forces (SDF).

The YPG mostly consists of Kurds, but also includes Arabs and foreign volunteers; it is closely allied to the Syriac Military Council, an Assyrian militia. The YPG was formed in 2011. It expanded rapidly in the Syrian Civil War and came to predominate over other armed Syrian Kurdish groups. A sister militia, the Women's Protection Units (YPJ), fights alongside them. The YPG is active in the Autonomous Administration of North and East Syria (Rojava), particularly in its Kurdish regions.

In early 2015, the group won a major victory over the Islamic State (IS) during the siege of Kobanî, where the YPG began to receive air and ground support from the United States and other Combined Joint Task Force – Operation Inherent Resolve militaries. Since then, the YPG has primarily fought against IS, as well as on occasion fighting other Syrian rebel groups and the Turkish Armed Forces. In late 2015, the YPG became part of the SDF, an umbrella group intended to better incorporate Arabs and minorities into the war effort. In 2016–2017, the SDF's Raqqa campaign led to the liberation of the city of Raqqa, the Islamic State's de facto capital. Several western sources have described the YPG as the "most effective" force in fighting IS in Syria.

According to Turkey and Qatar, the YPG is a terrorist organization due to its association with the Kurdistan Workers' Party (PKK), which is listed as a terrorist organization. The flag of the YPG is also a banned symbol in Germany as per Strafgesetzbuch section 86a, although the organization itself is not recognised as terrorist. Finland and Sweden's alleged support for the YPG is one of the points which caused Turkey to oppose Finland and Sweden's NATO accession bid. In June 2022, then–Finnish President Sauli Niinistö announced in Madrid, after the agreement with Turkey, that Finland does not see the YPG as a terrorist organization and that Finland will continue to support the YPG. The Turkish terror classification is not shared by key international bodies in the fight against the Islamic State in which the YPG takes part. Due to this Turkish view, US Army Special Operations Commander General Raymond Thomas suggested the YPG to change their name, after which the name of the Syrian Democratic Forces (SDF) was found.
 
Uturuki ndo ilicho kuwa ina taka.
 
Miongoni mwa watu walichelewa kuosoma mchezo ni Kurds!

Walipaswa wamsaidie Assad!

Hizbollah imezungukwa, lazima kuwe na mzozo mpakani!

Israeli inaweza kufurahia kwa muda hili, lakini mwisho lazima vurugu itokee!
Tuendelee kuufuatilia mchezo huu wa hii Libya 2.0(Syria).

Bado Alawites
 
Kipi kipya, Turkey ina vita yake na kurds tokea vita inaanza whether Assad angebaki au angetoka bado makundi yanayosupportiwa na Turkey yangevamia tu.

Pia PKK sio magaidi, mind you silaha walikua wanapewa na USA kupambana na ISIS je USA wanafadhili ugaidi?
Hii nchi kwa manufaa makubwa inabidi ipasuliwe! Lakini bado wanaweza wakatwangana hata hayo maeneo waliyogawana.

Wakisema waunde serikali moja bado wanahofia kugeukana kwa sababu kila upande una maslahi yake.

Wakisema wapigane mpaka mshindi apatikane bado hali ni ileile!

Ila ngoja tuone hali itakuwaje! Muda ni mwalimu.
 
Back
Top Bottom