kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Hii nchi kuna hatari ikawa kama libyaHii nchi kwa manufaa makubwa inabidi ipasuliwe! Lakini bado wanaweza wakatwangana hata hayo maeneo waliyogawana.
Wakisema waunde serikali moja bado wanahofia kugeukana kwa sababu kila upande una maslahi yake.
Wakisema wapigane mpaka mshindi apatikane bado hali ni ileile!
Ila ngoja tuone hali itakuwaje! Muda ni mwalimu.