Hapana magufuli alikataa huo mradi hata mama pia alikataa ila hao wanao sign Sasa ni wengine kabisaCCM nyie ni wehu Magufuli alipokataa huo mradi akishangiliwa leo hivi mnaukubali kwa mara nyingine anashangiliwa atakuja mwingine tena apinge anashangiliwa, hovyo kabisa
Alikataa huo mradi kwa sababu za kisiasa, akidhani kwamba akikubaliana nao atampa umaarufu JK kwani awamu ya nne aliupigania sana ufanikiwe. Zile sababu za kuukataa alizozitoa pale ikulu ni za kisiasa tu.Hapana magufuli alikataa huo mradi hata mama pia alikataa ila hao wanao sign Sasa ni wengine kabisa
Ukute hapo unaishi kwa shemeji ako ndiyo maana unashangilia kuongozwa na mzanzibarMitano tena kwa Dr Samia Suluhu Hassan, piga kelele mpaka uchoke bwana mdogo.
Hata ningeishi nyumba moja na wewe pamoja na mke wako, bado kuongozwa na Mzanzibar sio tatizo kwangu.Ukute hapo unaishi kwa shemeji ako ndiyo maana unashangilia kuongozwa na mzanzibar
Trump kasema they are goodKama hawana Wana uwezo wa ku mobilize zikapatikana.
Wewe unaweza kugombea Zanzibar hata kuwa Mwenyekiti wa mtaa?Hata ningeishi nyumba moja na wewe pamoja na mke wako, bado kuongozwa na Mzanzibar sio tatizo kwangu.
Haongozi milele, ni mpaka 2030 halafu atachukua mtu wa huku bara.
Kwetu kabisa Ngara Kagera, nikagombee Unguja ili nipate kitu gani?.Wewe unaweza kugombea Zanzibar hata kuwa Mwenyekiti wa mtaa?
Kaka hii ccm ya Samia na machawa wake wanachoangalia wao ni jinsi gani wanavyonufaika wao binafsi kwanza na hakuna anayejali athari zinazoweza kutokana na maamuzi anayofanya Samia sasa kwa vizazi vya mbeleni huko.... imagine mtu unamkabidhi mradi akuendeshee kwa miaka 30 tena akiwa na full authority ni akili hiyo kweli?Umesema "Wana uwezo wa ku mobilize zikapatikana"; kama wana uwezo wa kumobilize na zikapatikana nyie hamna huo uwezo, umekubali kuwa hao unaowapa wana uwezo wa kuuweka huo mradi sokoni wakapata fedha. Yule mwenzenu alikua ana akili, ingawa alikuwa dictator (JPM), alianzisha mradi na kuuweka sokoni na fedha zikapatikana na mradi bado ni wenu. Na alichagua contractors vizuri, hakuwapa matapeli wenu hao. Angalia Bwawa, umeme myauza nyie na pesa mtapa nyie. Contractors- Arab Contractors. SGR - Turkey-Portugal- na mradi ni wenu, ingawa hakutumia contractors wa Tanzania. Na hesabu miradi yake yote utaona hivyo.
Sasa nyie mnauza asset na mnawapa madraka yote. Angalia DP World, hadi chumbani wanaingia kuchukua siri zenu maana lango lenu wao ndiyo wanamiliki na pesa wanakusanya wao wanakupa wewe commission. Bagamoy imepewa kwa KSA, Ambaye kiukweli ni dalali tu, anayetaka hiyo bandari ni Mchina, hiyo sehemu ni strategic kwake kutokana na geopolitics na Marekani. JPM aliwastukia, sasa wanakuja kinyumenyume na hii lazima ni suggestion ya CCM kuwa hawa wachina watafute dalali wawe nyuma ya dalali. It fits with CCM ya mama Samia. Uzeni tu. Wala msiwe na aibu.
Ndiyo maana huna akili utakuwa ni mkibidhi kutoka Burudi wewe, mzanzibar anazuiwa kugombea kitu chochote huku bara?Kwetu kabisa Ngara Kagera, nikagombee Unguja ili nipate kitu gani?.
Kabla ya uwekezaji wa DP World,wewe ulikuwa inanufaika vipi na Bandari?Kaka hii ccm ya Samia na machawa wake wanachoangalia wao ni jinsi gani wanavyonufaika wao binafsi kwanza na hakuna anayejali athari zinazoweza kutokana na maamuzi anayofanya Samia sasa kwa vizazi vya mbeleni huko.... imagine mtu unamkabidhi mradi akuendeshee kwa miaka 30 tena akiwa na full authority ni akili hiyo kweli?
Serikali ya samia ndio serikali ya ovyoo kuwa kutokea hapa nchini, hawa machawa wake ambao wengi ni watanganyika acha wamfurahie tu kwa sababu ya hivyo visenti wanavyoambulia kwa sasa....lakin hata familia zao watakuwa na wahanga huko mbeleni
Sama sio mbumbumbu kwamba aache kutekeleza miradi Kwa sababu za kipuuzi za wajamaa mbuzi wasiojitambua.Hapana magufuli alikataa huo mradi hata mama pia alikataa ila hao wanao sign Sasa ni wengine kabisa
Kama angekataa kwasababu za kisiasa basi Samia angesign nao haraka sana ila hata yeye alikataa kumbuka huo mkataba ulikuwa unahusisha china merchants na Serikali ya OmanAlikataa huo mradi kwa sababu za kisiasa, akidhani kwamba akikubaliana nao atampa umaarufu JK kwani awamu ya nne aliupigania sana ufanikiwe. Zile sababu za kuukataa alizozitoa pale ikulu ni za kisiasa tu.
Mungu katupa fukwe ndefu kwa sababu maalum, tutakuwa wajinga tukiishia kuridhika kuwa na hizi bandari tatu za sasa wakati dunia ya kisasa hiyo bandari ya Bagamoyo ikishirikiana na ile ya Dar zinaweza kiuchumi kutufikisha mbali sana.
Mwanasheria mkuu wa sasa ndiye aliyepambana DPW akaweza kupewa tender ya kuiendesha bandari ya Dar na yupo makini sana kwenye vifungu vyote ambavyo vinaweza kuwa na sura ya kinyonyaji dhidi ya maslahi ya Tanzania.
Akili yako ya kitoto mpuuzi wewe. Wanasiasa walioiongoza nchi hii kwa miaka yote wangekuwa na akili kama za kwako Tanzania ingeshakufa kipindi kirefu sana.Ndiyo maana huna akili utakuwa ni mkibidhi kutoka Burudi wewe, mzanzibar anazuiwa kugombea kitu chochote huku bara?
Alidanganywa kuhusu vipengele vya mikataba pia alidhani kuwa Kikwete angepiga bao iwapo Bandari ya Bagamoyo ingejengwa kipindi cha awamu ya tano, tukizingatia Bagamoyo ni mkoa wa Pwani nyumbani kwa Mkwere.Kama angekataa kwasababu za kisiasa basi Samia angesign nao haraka sana ila hata yeye alikataa kumbuka huo mkataba ulikuwa unahusisha china merchants na Serikali ya Oman
Wewe unanufaikaje kwa kuungana na Zanzibar? ukinunua TV Zanzibar kuvuka kuja dar unalipa ushuru, lakini ukinunua TV Dar unaenda nayo mpk kwenu Bukoba bila usumbufu, Mzanzibar anapata haki zote kama wewe ulizo nazo, ajira zikitoka Zanzibar anaomba na bara anaomba wewe unanufaikaje na huu muungano fake? wewe akili ako dada angu ni ya kijinga sn shituka.Akili yako ya kitoto mpuuzi wewe. Wanasiasa walioiongoza nchi hii kwa miaka yote wangekuwa na akili kama za kwako Tanzania ingeshakufa kipindi kirefu sana.
Alidanganywa na nani? Kwaiyo ulitaka JPM apitishe mkataba wa kimangungo ili amfurahishe mkwere.Alidanganywa kuhusu vipengele vya mikataba pia alidhani kuwa Kikwete angepiga bao iwapo Bandari ya Bagamoyo ingejengwa kipindi cha awamu ya tano, tukizingatia Bagamoyo ni mkoa wa Pwani nyumbani kwa Mkwere.
Tunaihitaji bandari ya Bagamoyo iweze kuzisaidia bandari za Dar, Tanga na Mtwara katika kuinua uchumi wa Tanzania.
Unatuuliza sisi tunajua nini mwanangu? Kwanini usimuulize bibi na tena mko naye hapo hapo Dar.Uwekezaji ni kuuza?
Mbona nyerere hyro power kajenga mgeni na sgr wanajenga wageni
Watanzania mmekumbwa na nini mbona uelewa umekua wa hovyo
Zole investment za bandari za miaka ile ziliiuza bandari?
Halafu mwanasheria akishapitia wasifu wao nini kinafuatia? Anaushirikisha na uma kabla ya kuwakabidhi rasimi mradi au akishapitia tu yeye na akajiridhisha imetosha?Muda sio mrefu ofisi ya mwanasheria mkuu itaanza kupitia wasifu wa hawa wawekezaji watatu watakaopitishwa na serikali kwa ajili ya shughuli za uwekezaji kuanza.
umuhimu huo uwe na tija kwa taifa zima na sio kwa ajili ya maslahi ya genge la watu wa chache tu likiongozwa na yule babu wa msoga.Tunaweza kupiga kelele kadri tuwezavyo lakini hatuwezi kukwepa umuhimu wa bandari ya Bagamoyo.
Sawa, sasa watanzania wanataka kila kitu kiwe wazi, washirikishwe kila hatua ya uwekezaji/mradi huo, na pia hata pesa zitakazopatikana hapo waone jinsi gani zinavyotumika na wasiishie kuambiwa tu tumejenga zahanati 20 kumbe uongo mtupu hela zimeishia mifukoni mwa mafisadi yanayoimba kila mara bibi anaupiga mwingi.Huwezi kuwa na kilomita 1424 za fukwe kutoka Tanga mpaka Mtwara halafu usizitumie katika shughuli za kiuchumi zenye kutarajiwa kuongeza pato la Taifa. Tunapiga siasa za midomoni wakati tunayo rasilimali ya bahari ambayo ni pesa tupu ikiweza kutumiwa vyema.
But this is an argument from tradition logical fallacy.Hakuna mkataba wa kuuona ,sheria hazitaki hayo unayosema wewe.