Hoja nyepesi sana aiseeUnatuuliza sisi tunajua nini mwanangu? Kwanini usimuulize bibi na tena mko naye hapo hapo Dar.
Pamoja ya kwamba yawezekana ilikuwa ni katika substandard, ila kabla hao wajomba zake na Samia hamjawapa bandari mimi kama mtanzania nilinufaika sana tu kama ambavyo nimekuwa nikinufaika na rasilimali nyingine zilizopo nchi hii...!! najua wewe mla makombo ya mafisadi unaweza usinielewe.Kabla ya uwekezaji wa DP World,wewe ulikuwa inanufaika vipi na Bandari?
Ukinijibu hili swali nafuta Uzi 😂😂
Kumbe kuna meli zinatua nairobi siku hizi? Kwa kweli Kenya wako juu.. hivyo meli ikitoka ulaya itatua misri na badala ya kutua nairobi itatua bagamoyo.
Kaka huyo uliyemquote ni maiti inayotembea, kichwa chake kimebeba matope badala ya ubongo.But this is an argument from tradition logical fallacy.
It is also an argument from authority logical fallacy.
Kutetea kitu kwa hoja ya "sheria zinasema" ni ujinga. Afrika Kusini sheria zilisema watu weusi wabaguliwe, je, hilo lilikuwa jambo la sawa na haki kwa sababu sheria ilisema?
Uwazi ni kitu muhimu, usiri ni kichaka cha rushwa. Siku hizi hata hao mnaowaita mabeberu wa World Bank wanasisitiza uwazi katika miradi wanayo i fund. Kwa nini serikali ya Tanzania inafanya usiri sana katika mambo yenye public interest?
Wewe huoni kuwa kutetea mikataba ambayo hujaiona, hujui terms zake, hata kwa juu juu tu, ni ujinga?
Kama hujui chochote kuhusu mikataba utajuaje kuwa unatetea kitu kisichokuumiza?
Enhancing Government Effectiveness and Transparency: The Fight Against Corruption
This flagship report is a timely piece of work that shows positive examples of how countries are progressing in their fight the corrosive effects of corruption and how the lessons learned can guide policy makers and anti-corruption champions.www.worldbank.org
Wewe unanufaika vipi na hizi chuki zako?. Maisha yamekuwepo katika hali hii kabla hata hujazaliwa.Wewe unanufaikaje kwa kuungana na Zanzibar? ukinunua TV Zanzibar kuvuka kuja dar unalipa ushuru, lakini ukinunua TV Dar unaenda nayo mpk kwenu Bukoba bila usumbufu, Mzanzibar anapata haki zote kama wewe ulizo nazo, ajira zikitoka Zanzibar anaomba na bara anaomba wewe unanufaikaje na huu muungano fake? wewe akili ako dada angu ni ya kijinga sn shituka.
Huyo mfu wako hakushika hatma ya nchi hii ndio maana hayuko nasi sahv, nchi ni ya watanzania ndio waamuzi wa hatma ya nchi yaoCCM nyie ni wehu Magufuli alipokataa huo mradi akishangiliwa leo hivi mnaukubali kwa mara nyingine anashangiliwa atakuja mwingine tena apinge anashangiliwa, hovyo kabisa
Kila kitu kitawekwa wazi baada ya mwanasheria mkuu kumpitisha mwekezaji mmoja atakayeiendesha bandari.Halafu mwanasheria akishapitia wasifu wao nini kinafuatia? Anaushirikisha na uma kabla ya kuwakabidhi rasimi mradi au akishapitia tu yeye na akajiridhisha imetosha?
Na pia hapa tunachotaka ni kuona mkataba unasema nini kipengele kimoja baada ya kingine...
umuhimu huo uwe na tija kwa taifa zima na sio kwa ajili ya maslahi ya genge la watu wa chache tu likiongozwa na yule babu wa msoga.
Sawa, sasa watanzania wanataka kila kitu kiwe wazi, washirikishwe kila hatua ya uwekezaji/mradi huo, na pia hata pesa zitakazopatikana hapo waone jinsi gani zinavyotumika na wasiishie kuambiwa tu tumejenga zahanati 20 kumbe uongo mtupu hela zimeishia mifukoni mwa mafisadi yanayoimba kila mara bibi anaupiga mwingi.
Who is Magufuli by the way? Yule alikuw mshamba flani, ni aibu kumfanyia rejeaHuu si ndio mradi Magufuli aliupinga? CCM lazima waingie maana ndio wanaohusika kwenye hizi mambo
Naskia kwenye ajira mpya 1594 za TRA kuna nafasi 300+ zimetengwa kwa ajili ya wazanzibar.. wakati huo hakuna mtanganyika anayeruhusiwa kusogeza pua yake kwenye ajira za ZRAWewe unanufaikaje kwa kuungana na Zanzibar? ukinunua TV Zanzibar kuvuka kuja dar unalipa ushuru, lakini ukinunua TV Dar unaenda nayo mpk kwenu Bukoba bila usumbufu, Mzanzibar anapata haki zote kama wewe ulizo nazo, ajira zikitoka Zanzibar anaomba na bara anaomba wewe unanufaikaje na huu muungano fake? wewe akili ako dada angu ni ya kijinga sn shituka.
Kwa kweli inasikitisha sana kuona kuwa kuna watu kama hawa.Kaka huyo uliyemquote ni maiti inayotembea, kichwa chake kimebeba matope badala ya ubongo.
Huyo jamaa chochote kinachofanywa na serikali ya Samia kwake yeye ni "twawiree mama"... yaan kwake Samia siku zote yuko right 100% na amededicate maisha yake kumtetea humu mitandaoni hata pale ambapo hakuna mantiki ya kumtetea.
Angalia sasa hivi anakwambia huo mkataba hajauona lakini anautetea kwa sababu tu yeye n mtetezi wa serikali, sasa ni mtu huyo?
Kipengele chenye kusema kwamba wakipewa bandari ya Bagamoyo kuiendesha shughuli nyingine zote za bandari zitasimama, yale yale ambayo watanzania walishindwa kuyaelewa kwenye mkataba wa DPW wakiamini kuwa nchi imeuzwa kupitia kipengele hicho.Alidanganywa na nani? Kwaiyo ulitaka JPM apitishe mkataba wa kimangungo ili amfurahishe mkwere.
Haya na Samia kwanini alishindwana nao?
Kwl platinum imekosa thamaniKwa kweli inasikitisha sana kuona kuwa kuna watu kama hawa.
Hebu soma hapa...Kila kitu kitawekwa wazi baada ya mwanasheria mkuu kumpitisha mwekezaji mmoja atakayeiendesha bandari.
kwa hiyo this time mtajitahidi kuuficha huo mkataba hili uma usijue nini kilichomo kwenye mkataba kuepusha migongano si ndio maanake? Maana kama ni mkataba wa kimangungo(naamini ndio uko hivyo) obvious lazima mikwaruzano iwepo..Pia usitegemee kuona yale masuala ya mikwaruzano kati ya jamii na ule wa DP World yakijirudia tena.
Sasa kama hamko tayari kuufuata umma ilihali mko hapo kwa ajili ya kuutumikia huo uma, tunafanya uchaguzi wa nini sasa? Si muwe mnajiteua tu huko nyie wenyewe? Na kwanin mnajilipa mishaara kwa kodi za wanainchi kama ni hivyo?Hakuna kiongozi wa serikali mwenye muda wa kuufuata umma eti kuomba kujua una maoni gani juu ya suala fulani, hakuna kitu cha namna hiyo kwa maana ya uongozi unavyoendeshwa.
Hakuna sehemu ambayo magufuli alisema hayo ila alisema wakipewa bagamoyo haitakiwa kufanya Wala kuendeleza.Kipengele chenye kusema kwamba wakipewa bandari ya Bagamoyo kuiendesha shughuli nyingine zote za bandari zitasimama, yale yale ambayo watanzania walishindwa kuyaelewa kwenye mkataba wa DPW wakiamini kuwa nchi imeuzwa kupitia kipengele hicho.
Leo pale TPA kuna waendeshaji wawili na hakuna muingiliano wowote wa shughuli zao za kila siku.
Uzi unasema kuna wawekezaji watatu wanaopitiwa juu ya uwezo wao kwa sasa, atapitishwa mmoja na serikali baada ya AG na washauri wake kuwapitia uwezo wao wa kazi upo vipi.
Platinum gani? Imekosa thamani vipi?Kwl platinum imekosa thamani
Cha kustaajabisha sasa hawa machawa ambao wako kutetea madudu ya serikali huku mitandaoni wala hata sio wanufaika wa moja kwa moja wa ufisadi uliopo kwenye hii miradi...Kwa kweli inasikitisha sana kuona kuwa kuna watu kama hawa.
Siasa nyingi za wanaharakati wa Jamii Forum haziwezi kuzuia uwekezaji hapo Bagamayo, siku itafika na mikataba itasainiwa.Hebu soma hapa...
kwa hiyo this time mtajitahidi kuuficha huo mkataba hili uma usijue nini kilichomo kwenye mkataba kuepusha migongano si ndio maanake? Maana kama ni mkataba wa kimangungo(naamini ndio uko hivyo) obvious lazima mikwaruzano iwepo..
Sasa kama hamko tayari kuufuata umma ilihali mko hapo kwa ajili ya kuutumikia huo uma, tunafanya uchaguzi wa nini sasa? Si muwe mnajiteua tu huko nyie wenyewe? Na kwanin mnajilipa mishaara kwa kodi za wanainchi kama ni hivyo?
Na pia soma paragraph yako ya kwanza kisha urudi hapa uone ulivyoji contradict... kweli hakuna chawa mwenye akili
Bandari ya Dar yupo DPW na yule mdosi, bandari ya Bagamoyo atapewa huyo mwekezaji atakayepatikana miongoni mwa hawa watatu wanaoangaliwa kwa kina uwezo wao upo vipi.Cha kustaajabisha sasa hawa machawa ambao wako kutetea madudu ya serikali huku mitandaoni wala hata sio wanufaika wa moja kwa moja wa ufisadi uliopo kwenye hii miradi...
Hawa akina Choicevariable na wenzake ni wala makombo ya mafisadi, yaani mafisadi yakishapiga mabilioni huko ndio yanawarushia na wao vichenji vidogo kama vilaki laki kadhaa kisha wakishashiba ndio wanakuja kuandika nyuzi za mapambio huku mitandaoni kumsifu mama.. mama...!!
Bagamoyo wataijenga kuanzia chini kabisa, hapo TPA wataiendeleza ile iliyokuwa imeshajengwa tayari.Hakuna sehemu ambayo magufuli alisema hayo ila alisema wakipewa bagamoyo haitakiwa kufanya Wala kuendeleza.
Harafu hao wawekezaji wanataka kuendesha kama DP world?