masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Uko nje ya mada rafikiRidhika na ulichonacho
Price zao zipojeKonya,Uturuki.
Bangkok, Thailand ndio cheapest hata lab za mtaani
Umewaona in real life lakini?Jamani hiyo miili ya plastic surgery inapendeza. Uongo dhambi
Tuelekezane machimbo jamani. And do and dont kwenye hili swala.
Mmmmh mtaani tenaKonya,Uturuki.
Bangkok, Thailand ndio cheapest hata lab za mtaani
Wakiwa wamevaa nguo ndio hahaha ya ndan sijuiUmewaona in real life lakini?
Usijaribu kabsa hii liposuction litakukuta jambo si unaona Muna love tummy tacky ilivyotaka kumtoa roho?Fanya mazoez kula vizuri utakua na mwili mzuri tu.Mmmmh mtaani tena
Hiv price zinarange vip
Kwa liposuction
Hutaki kuongeza japo tako🤣🤣🤣Duh sijawahi kutamani.
Alitaka punguza litumbo🤣🤣🤣🤣Usijaribu kabsa hii liposuction litakukuta jambo si unaona Muna love tummy tacky ilivyotaka kumtoa roho?Fanya mazoez kula vizuri utakua na mwili mzuri tu.
Litumbo ndo linini?Alitaka punguza litumbo🤣🤣🤣🤣
No liposuctionUnataka tako au
Litumbo sii linakuwa likibwa sana mpaka lina mwagika.Litumbo ndo linini?
Ukisema tumbo itakuaje.
0unguza dharau maana najua kuacha uwezi
Jamani hiyo miili ya plastic surgery inapendeza. Uongo dhambi
Tuelekezane machimbo jamani. And do and dont kwenye hili swala.
No liposUnataka tako au
Muna sijui ilikuajUsijaribu kabsa hii liposuction litakukuta jambo si unaona Muna love tummy tacky ilivyotaka kumtoa roho?Fanya mazoez kula vizuri utakua na mwili mzuri tu.
Mwili umegoma kupunguaAchananayo dada, Allah amekuumba kama jinsi ulivyo, why umkosoe!! Maisha yenyewe mafupi.