Plastic surgery

Plastic surgery

😏
IMG-20220725-WA0016.jpg
 
Jamani hiyo miili ya plastic surgery inapendeza. Uongo dhambi

Tuelekezane machimbo jamani. And do and dont kwenye hili swala.
Usiniambie ile amazing Masai figure imepotea!
 
Nangojea upate majibu nami nipate faida, ila maswali ya maana naona hawajibu wanakuja miungu watu kukupa ushauri na kukukataza yaliyo moyoni mwako masai dada
Ukifanya plastic surgery ujue utaendelea kuifanya maisha yako yote.
 
Jamani hiyo miili ya plastic surgery inapendeza. Uongo dhambi

Tuelekezane machimbo jamani. And do and dont kwenye hili swala.
Pole naona hujapata majibu zaid ya ushauri usiouhitaji[emoji3] nadhani unaweza tu kugoogle hata kwa kiswahili kama kingereza kitakupa shida....siku kutengeza shep ndiyo mpango mwaya maisha yenyewe mafupi haya enjoy
 
Hivi hizi surgery ukifika 50yrs unarudia au ndo forever young?
 
I am a surgeon at muhimbili orthopaedic institute. Nakushauri achana na mambo ya surgery zisizo na ulazma. Mimi napasua watu daily najua matatzo ya kupasuliwa.
 
Hivi hizi surgery ukifika 50yrs unarudia au ndo forever young?

Huwa wanabadilisha sijui kila baada ya miaka 10/15 haswa zile za milk na kota nasikia yale masilicon huwa yanapasuka yakikaa muda mrefu,,,sijui wanayapendea nini,,,mtu aliyefanya hizo plastic surgery anajulikana ukiyagusa yanakua magumu kichiz hata akitembea alinesi natural ni natural tu!
 
Kuna nchi zinaongoza kwa cheap plastic surgery ila sijaona wakieka kalio wao sura,ualaza,nywele,macho,lips,milk na tumbo(South Korea) yan kule baadhi ya wanaume zao usipowaangalia vizur unaweza jua wanawake hahaha
 
Plastic surgery ipo poa, ila Silicone implants hapana. Nimewahi muona mmoja bila nguo. Hapana.
 
Back
Top Bottom