Najaribu kujihoji na kutafakali kwa kina sipati majibu
Hivi plateau wanajiamini Nini kuja siku moja kabla ya mechi na simba ambayo kuifunga kwa mkapa Hadi ufanye kazi nzito
*Wamekata tamaaa
*Ni mbinu ya kivita
*Waliamini kwamba nao watafanyiwa figisu kama walivyowafanyia simba
Nini maoni yako
Hivi plateau wanajiamini Nini kuja siku moja kabla ya mechi na simba ambayo kuifunga kwa mkapa Hadi ufanye kazi nzito
*Wamekata tamaaa
*Ni mbinu ya kivita
*Waliamini kwamba nao watafanyiwa figisu kama walivyowafanyia simba
Nini maoni yako