Kojoa ukalale.. useless argumentsUnazunguka alafu unarudi pale pale nilipoanzia.Yaani Universal wakubali kumlipia mtu bilioni 2 alafu wamuache kirahisi rahisi aendelee kuingiza hela kwenye kitu ambacho wao wamekilipia?!
East Africa ndio soko kuu la Diamond unadhani Universal wasipopata faida huku watauza wapi tena kazi za Dimond kwa faida?!
Alisema kuwa kazi za Wcb zitasambazwa na Universal music au hakusema?!
Hakusema kuwa walilipwa bilioni mbili kwa ajili hiyo au hakusema?!
Unakumbuka kuwa Marry you ilivyotoka ilisambazwa vipi?!
Nini kilichobadilika sasa hivi?!
Mzaramo anadai kiba anasimamiwa na sony so maswala ya usambazwaji wa nyimbo sony hawahusikiMzaramo Chige amekuuliza swali!mbona Alikiba yuko Sony lakini nyimbo zake zinapatikana Mkito na mzikii na kwingineko?!
Mpuyango2 hyo anapenda kiki na big G zakeHuyu si alisema alilipwa Bilioni 2.2 na Universal Music alafu akalipa Kodi Milioni 35 ili nyimbo zao za Wcb waziuze wao?!
Imekuaje tena mbona wanauza wenyewe tena?!
Huyo jamaa kuna siku nilimwambia hata kama amefunga nadhiri ya kuwa hater basi angalau awe anatumia akili kidogo ili awe anaponda vitu kwa kutumia akili... lakini wapi!!!Wewe jamaa kweli mbumbumbu , universal music wanasimamia Kazi za diamond kwenye platform kubwa zaidi duniani
Ndo maana unaona vituo vikubwa duniani vinacheza nyimbo ya marry you ,
Mtv Denmark, Holland, UK ,Finland, Greece , Spain kote wanacheza marry you ya diamond sio kwa bahati mbaya hii no Kazi universal music,
Wasafi no platform kama ilivyo spotify au mkito,au mziiki.
Wasanii wa wasafi sasahivi baada ya kutumia mkito watakuwa wanatia Wasafi music
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Kabisa... ndicho hasa anachomaanisha bila kujua kwamba ndicho anachomaanisha!!!Mzaramo anadai kiba anasimamiwa na sony so maswala ya usambazwaji wa nyimbo sony hawahusiki
Ukienda Mkito; unaikuta Aje ya Ali Kiba!! Je, Mkito ni ya Sony ile?! Ukienda Spotify kuna kazi kibao kutoka Label ya Universal; unataka kutuambia Spotify ni ya Universal ile?!N short 1milion dollar ta kwa universal n kubwa hawawez kkupa afu wasikamue assert yao tena kwenye potential market unless aweke wazi kuwa hiyo site siyo yake bal n ya universal wemeweka ilkuanza kurudisha 2.2b na kutumia jina kupata wasanii wengine wa kunufaika na soko la east africa ambayo ndo the main cover
Big G ni aje remix iliyotoka ndn ya siku moja na kufa kabisaMpuyango2 hyo anapenda kiki na big G zake
Ila lini haitakuwepoUPDATE:Navy kenzo inayoundwa na wasanii Aika na Nahreel wamejiunga na wasafidotcom.
Aaah wapi!.Mwenye copyright ya mimbo ni kiba au navykenzo?!Hapo wataamua navykenzo sio kiba.Ila lini haitakuwepo
Huyo jamaa kuna siku nilimwambia hata kama amefunga nadhiri ya kuwa hater basi angalau awe anatumia akili kidogo ili awe anaponda vitu kwa kutumia akili... lakini wapi!!!
Kuna siku nilimpa changamoto akae akifuatilia number ya subscribers kwenye a/c mpya ya Diamond ndipo atafahamu who's Diamond!!!
Hadi hapa naandika, tayari Diamond ana subscribers +39K wakati Kiba ndo kwanza anatafuta subscribers 8K huku wakiwa wameachana wiki 2 tangu waanze kutumia new accounts!
Sasa wewe ndo unaongea madubwasha gani hapa... au umepotea jukwaa!! Au ulitaka usemewe wewe wakati you have nothing cha kusemewa?! By the way, unafahamu level ya uchumi wangu wewe; au unaropoka tu?!Duuh [emoji38][emoji38][emoji1] mkuu naona unatumia nguvu nyingi sana kumtetea diamond na kujivika kivuli cha usemaji wa wcb ila kama ungekutumia nguvu kama hizi katika kuimarisha hali ya uchumi wako ungekuwa level zingine sasa.
Issue sio kushindwa bali unaangalia weakness ya competitor kisha unaitumia kuwa strength yako!!Mkito dot com
Mdundo dot com
Mziiki dot com
Hawa wote walishindwa hii biashara eeh?
Haya, ngoja tuione na wasafi dot com itakuja vipi nayo.
Tatzo website yake haijakaa poa inahitaji marekebisho kabisa maana watu tunajaribu kununua but inaznguahapa yatakikana mawazo kama haya. Ikiwatu kwa kiwango cha chini huyu ndugu akapata wanunuzi Ml 1 East Afrika wakanunua Hizo kazi kwa siki 1 Je! Kwa Mwezi Atatengeneza Shilingi Ngapi?
Huyu kijana kapanuka sasa fikra Anafikiria kama Sisi wafanyabiashara tunavyofikiri.
Unaangalia kilometa 100 juu ya kutengeneza fedha hakika huyu kijana akiendelea hivi Atafika mbali sana.
Maana hata wasanii wa filamu na hakika watajiunga nae maana mtaani wanaibiwa sana.