Wewe jamaa kweli mbumbumbu , universal music wanasimamia Kazi za diamond kwenye platform kubwa zaidi duniani
Ndo maana unaona vituo vikubwa duniani vinacheza nyimbo ya marry you ,
Mtv Denmark, Holland, UK ,Finland, Greece , Spain kote wanacheza marry you ya diamond sio kwa bahati mbaya hii no Kazi universal music,
Wasafi no platform kama ilivyo spotify au mkito,au mziiki.
Wasanii wa wasafi sasahivi baada ya kutumia mkito watakuwa wanatia Wasafi music
Sent from my TECNO H6 using
JamiiForums mobile app