Platnum Member K Matata....

Platnum Member K Matata....

Iyo cheo sijui inarubu rubu maana mtu kafurahi kupitiliza. hongera sana mkuu
 
mwanamke akiwa umri umeenda halafu akawa na stress ...hatari sana......
 
Iyo cheo sijui inarubu rubu maana mtu kafurahi kupitiliza. hongera sana mkuu


Aahahahhahajaaa Huska,asantee acha tuu nifurahi na kufurahi maana nna furaha tele mwilini na moyoni eehehehehhee

Utamu wa Platnum nausikilizia tuu halafu naishia kutabasamu na kutoa cheko kuubwaaa.

Matata K.
 
I might seem crazy for what am about to say....

Heheheheheeee wooooyooooo....

Naanza na cheko kubwaaa na kelee miingiiii aahahhahaahahaaaaa looh, ngoja nijaribu kuwa mtulivu na mpole kama hulka yangu ilivyo tofauti na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiniambia niko mjanja mjanja, mtundu, mchokozi eehehehheeee ila Matata ya Kinyamwezi haya ya kuzaliwa nayo sibishi japo niko kabishi bishi ka chinichini aahahahahahaa.

Wapendwa natumai jumapili yenu iko tulivu kama mlivyopanga, kwa ambao inaenda ndivyo sivyo poleni.

Leo baada ya mning'inio wa jana kuisha wakati napata stafutahi japo tayari ilishagonga jua la upenuni, nikasema ngoja nijichungulie ID yangu ya JF. Mara nyingi huwa nachungulia avatar za watu na kuzizoom, sasa leo sijui nini kimenituma bana, nikajichungulia ID yangu aahamadiii nakutana na Kasie Platnum Member wuuuhuuuhhh nikajikuta napiga keleee kama niko club na sauti yangu iliyokauka aahahahhaaaa yaani nimefurahi na kupatwa na mshangao.....

Kipindi cha nyuma nilisikia ukitaka kupata U- Platnum Member basi inabidi ulipie, sikuwahi kufanya hivyo. Sasa leo ndo najiona niko Platnum Member yaani AM SO EXITED!!!

Hadi sasa sijajua aliyenilipia huu u-Platinum member ni nani au ni uongozi wa JF chini ya Mkuu Maxence Melo ndo umenizawadia hata sifahamu, na sijui lini haswa nilitunukiwa huo u-Platinum.

Kwa uzi huu naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa moyo wa upendo na Mahaba tele, AKHSANTE SANA KWA ALIYESABABISHA NIKAPATA U-PLATINUM MEMBER.

IT'S NOT A BIG DEAL BUT IT ADD A BIG SMILE TO ME AND MEANS A LOT....

View attachment 1194969

View attachment 1194970




Am so Happy, Happy, Happy, Happy....

Najua wengine wataona kelele na usumbufu na kusema najaza seva za JF, jamani kwenye seva zake yuko kimyaaa hajalalamika hata siku moja, sana sana tunampa kufikiri vipi aongeze ukubwa wa seva za JF eheheeheheee, ila kwangu mimi ni tuzo ya kushangilia na kupiga kelele aka shout out.

Kuna mtu aliniambiaga, wee Kasie wewe, akili zako unazijua mwenyewe eeheheheheheee natumai akipita hapa atatabasamu tuu aahahahahaa.

Na sababu nilipata uplatinamu bila kupata notification basi naamini aliyesababisha hakutaka kujulikana, ila huko uliko, have a cheers from Kasie, a Teddy Bear Hug, a Palm and chicks Kiss, you deserve a day out with Kasie....

I laaab yuuuuu, mmmuuuah!!!

Matata Kasinde.

HONGERA SANA
Binafsi kabla ya jana nilikua na Troph point M500, like zilikua 460+ post zilikua 980+ nilipofikisha post 1000 nikazawadiwa bonus ya Troph 500
Nilipofikisha likes 500 nikazawadiwa Troph 1000 kwa hiyo, sasa nina Troph Point 2000
Nitumie fursa hii kuushukuru uongozi wa JF kwani hivi vitu vinaleta changamoto na kuonesha kujali Maxence Melo
 
HONGERA SANA
Binafsi kabla ya jana nilikua na Troph point M500, like zilikua 460+ post zilikua 980+ nilipofikisha post 1000 nikazawadiwa bonus ya Troph 500
Nilipofikisha likes 500 nikazawadiwa Troph 1000 kwa hiyo, sasa nina Troph Point 2000
Nitumie fursa hii kuushukuru uongozi wa JF kwani hivi vitu vinaleta changamoto na kuonesha kujali Maxence Melo


Aikambeee...
 
Me sijui izi level zinatolewa kwa vigezo vp, ila nilipopata expert member nilifurahi japo naona sipo tofauti na watu wengine, nilivo soma thread hii haraka sana nika mtafuta mshana jr nikashangaa ni expert member nawengine watu maharufu hapa JF nikaona nao ni kama mm japokuwa wao wanamchango mkubwa sana hapa JF kuliko mimi.
 
Mimi nimesababisha nini? Your midlife crisis?

Aahahahaahahahahaaaa unajua nini, nilivokuita nilitaka utamke hilo jina midlifu krasis aahahahahhaaaaa
Nilijikuta natamka hivohivo nilivyoandika na kujicheka mwenyewe eehehehehehheee

Mabungo yangu na sanvita viko wapi?
 
Back
Top Bottom