Dr Shekilango
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 192
- 120
Wakati tukipata chakula cha jioni ghafla mke wangu niliona anaishiwa nguvu na kunilalia nikajiuliza sina cha kufanya. Kutoka na kuzimia niliamua kuanza kumpepea na baadaye amepata nafuu japo si sana, so kama wajamaa naomba mawazo, ushauri na hatua za kuchukua.
Mkuu kimbia hospitali,yani unakuja jf kuomba msaada badala umpeleke kwa daktari kwanza
Atakua mnafki uyu ivi kabisa mkee azime ukumbuke nakuingia jf
Hapana siyo hivyo mkuu wala mie siyo mnafiki coz sasa ametulia kidogo alfu niko kijijini sana hakuna huduma za karibu no usafiri ndiyo sababu.
Wakati tukipata chakula cha jioni ghafla mke wangu niliona anaishiwa nguvu na kunilalia nikajiuliza sina cha kufanya. Kutoka na kuzimia niliamua kuanza kumpepea na baadaye amepata nafuu japo si sana, so kama wajamaa naomba mawazo, ushauri na hatua za kuchukua.
Kupoteza fahamu kwa mjamzito kunatokana na sababu zaidi ya moja.
Na wakati mwingine Ukipuuzia Inaweza kumletea madhara makubwa sana mtoto alioko tumboni pamoja na Mama mwenyewe.
Nenda hospitali haraka sana akapimwe.
Na suala km hili unalipeleka kule JF DOCTOR sio humu kwa wahuni wanaojadili Ngono masaa 24.
Hizi social networks zatufanya wa.pumbavu. Yaani unaacha kumshughulikia mke tena mjamzito unakuja kupost ----- jf...? Aasssh!