Dr Shekilango
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 192
- 120
Wakati tukipata chakula cha jioni ghafla mke wangu niliona anaishiwa nguvu na kunilalia nikajiuliza sina cha kufanya. Kutoka na kuzimia niliamua kuanza kumpepea na baadaye amepata nafuu japo si sana, so kama wajamaa naomba mawazo, ushauri na hatua za kuchukua.