kama mimba ni changa, inawezakana inamzuia kula au anatapika sana. Hii huwafanya baadhi ya kina mama kuishiwa nguvu(sijawahi kuona kazimia though). Lakini mara kadhaa akiishiwa nguvu huongezewa drip, nadhani ya maji na B complex.
Sasa kama uko home, huduma ya kwanza itakuwa kumpa glucose.
Kama mimba ni kubwa, na amekuwa akipimwa nakukutwa na pressure iko juu, plus protein nyingi kwenye mkojo, miguu kuvimba sana, sio dalili nzuri hata kidogo. Hizi huwa ni viashiria vya kifafacha mimba. Hapa ni kumuwahisha zahanati, na mara kadhaa huanzishiwa uchungu.
Msaada wa hapa ni kumpa maji ya kunywa mengi kusaidia mkojo kuwa msafi na pressure kushuka.(hapa hii ni elimu yangu ya sangabuye skul of natural treatment)
Msinizonge, mie fundi mchundo natumia uzoefu tu.