Please Could You Be Honesty to Us?

Please Could You Be Honesty to Us?

Nimewasoma wote, ngoja na mimi nitoe zangu.
1. Sipendi mwanamke mjuaji.
2. Sipendi mwanamke anayekubali kila nachomwambia kama vile mimi niko sahihi muda wote. Nina maana ninapenda majadiliano yenye kujenga.
3. Sipendi mwanamke anayependa kulakula kila wakati.
4. Napenda mwanamke muwazi. Sio mtu unamuuliza tatizo nini, unajibiwa hamna kitu wakati kanuna.
 
Hata kama wanaume wote wa JF tutaodhoresha list ndeeefu ya tutakacho/tupendacho but at the end of the day mwanamke atabakia kuwa ni mwanamke tuu. You gonna have to take her the way you find her. If she is not straight forward then, try to find one who she is. A woman should not change her personality/character in order to please man. If not being straight forward is your character then don't change and be straight forward simply to please him. In deed, by their nature, women are not straight forward. Men are. So, don't behave like a man to attract him. Be who you are. This is what make a woman attractive. Being you.
 
Nimewasoma wote, ngoja na mimi nitoe zangu.
1. Sipendi mwanamke mjuaji.
2. Sipendi mwanamke anayekubali kila nachomwambia kama vile mimi niko sahihi muda wote. Nina maana ninapenda majadiliano yenye kujenga.
3. Sipendi mwanamke anayependa kulakula kila wakati.
4. Napenda mwanamke muwazi. Sio mtu unamuuliza tatizo nini, unajibiwa hamna kitu wakati kanuna.

Kaka mdogo...hapo kwenye red

Niliwahi kukaa siti moja na binti kwenye basi toka Ar mpaka Dar. Wakati kanakaa kwenye siti kabla safari haijaanza, mzee mzima nikajiapia lazima nirushe ndoano manake kameumbwa aisee.... Kabla hatujafika Moshi kameshakula mayai matatu ya kuchemsha na karanga pakti mbili. Moshi kakanunua mwindi wa kuchoma kazi ikaendelea....Njia panda pale mibiskuti kakajinunulia na mayai ya kuchemsha.... agrrrrrrr!

Wazo la kukatokea likaisha manake huo ushuzi kalikokuwa kanaachia LOL

Babu hapendi mwanamke anayeachia USHUZI! Lolz
 
Nimewasoma wote, ngoja na mimi nitoe zangu.
1. Sipendi mwanamke mjuaji.
2. Sipendi mwanamke anayekubali kila nachomwambia kama vile mimi niko sahihi muda wote. Nina maana ninapenda majadiliano yenye kujenga.
3. Sipendi mwanamke anayependa kulakula kila wakati.
4. Napenda mwanamke muwazi. Sio mtu unamuuliza tatizo nini, unajibiwa hamna kitu wakati kanuna.

Da Womanizer, hupendi kula kula chakula gani? au fumbo hilo? ha ha
 
Hahahaa...mpaka sasa hivi naona chenga tu....labda nifanye mpango wa kujiUPGRADE nifikie vigezo vya hawa wakaka nisije nikadoda!!Lolzz...

Leo hujamwamkia babu...why? Unataka kuchapwa bakora?
 
Hahahaa...mpaka sasa hivi naona chenga tu....labda nifanye mpango wa kujiUPGRADE nifikie vigezo vya hawa wakaka nisije nikadoda!!Lolzz...
Umeona eh Lizzy..........yaani ni zaidi ya unavyowezadhania!! mwe
 
We mtoto unapenda sana kusoma katikati....ya mistari!

Babu bwana, nataka tuwaelewe inavyotakiwa..siyo kuotea otea!!..muhimu kusoma kiundani zaidi!!..
Halafu na wewe una 'vigezo' vikali, lol...atakuwa malaika huyo uliyemzungumzia🙂))
 
Hiyo ya msosi mi hainipi shida..... mama asipojua kupika, mi mwenyewe naingia jikoni kumfundisha, manake nami kwa kupika nimejaliwa kipaji. Isitoshe msosi si sehemu ya hobby yangu, nikishapiga bia zangu mbili tatu, wala sijishughulishi na mamsosi.

Haa...msosi si ndio mpango mzima ,asprin,!! sasa kama we ni kilaji tu, unaweza kujutia badae..kwasababu wachakachuaji watakuwa wengi. Coz waweza kuwa mdhaifu maeneo!!lol
 
Haa...msosi si ndio mpango mzima ,asprin,!! sasa kama we ni kilaji tu, unaweza kujutia badae..kwasababu wachakachuaji watakuwa wengi. Coz waweza kuwa mdhaifu maeneo!!lol

Hiyo misosi tunayoipiga kwenye ulabu unadhani midogo? (Usiwaambie kina mama tafazali)
 
......manumbu aksante sana. Duh yaani hii nilikuwa ninaisubiria kwa hamu very unfortunately huwa sina maelezo ya kuitolea zaidi ya kukiri udhaifu..pengine kama kuna mwanasaikolojia angetueleza saikolojia ya mwanamke maana duh......wanawake wengi sana tuna hii kitu aisee.yaani umekosewa, umeombwa msamaha but still bado utalisema asubuhi, mchana na jioni na bado kesho utalikumbushia na kisha tunaliweka bank tukisubiri tena tuchokozwe mwe!![/QUOTE]


sasa hapo MJ1 ndipo mnapoharibu sasa,
ukikutana na wale wasiopenda ngonjera, basi ndo ana ku write off kabisa,
ok, poleni kwa kuwa umesema hii ni weakness yenu akina mama!!!!
lakini si ndo unaona sasa inavyowakosti!!!!!!!!!!!
 
Kaka mdogo...hapo kwenye red

Niliwahi kukaa siti moja na binti kwenye basi toka Ar mpaka Dar. Wakati kanakaa kwenye siti kabla safari haijaanza, mzee mzima nikajiapia lazima nirushe ndoano manake kameumbwa aisee.... Kabla hatujafika Moshi kameshakula mayai matatu ya kuchemsha na karanga pakti mbili. Moshi kakanunua mwindi wa kuchoma kazi ikaendelea....Njia panda pale mibiskuti kakajinunulia na mayai ya kuchemsha.... agrrrrrrr!

Wazo la kukatokea likaisha manake huo ushuzi kalikokuwa kanaachia LOL

Babu hapendi mwanamke anayeachia USHUZI! Lolz

najaribu kutafakari hapo,
sasa sijui Babu utampata wapi mwanamke ambae hata huo ushuzi hatoi?
 
Back
Top Bottom