Please Could You Be Honesty to Us?



Ndio maana ulipofika Dar ulikunywa chupa nzima ya Grant kwa kuvimbiwa
 
najaribu kutafakari hapo,
sasa sijui Babu utampata wapi mwanamke ambae hata huo ushuzi hatoi?

Hahahaha...

Ngoja nirekebishe kidogo : Babu hapendi mwanamke anayeachia ushuzi unaonuka bila staha, tena hadharani.
 
We mwenyewe hapo malaika, basi tu hujijui.
mkubwa naona unapiga ndogo ndogo hapo kwa belinda....!

natumia bandiko hili kutoa ANGALIZO KUU....!

she is mine!...nimetoka nae mbali sana huyo niachie mimi mkuu...!we endelea na blackwomani
 
Hahahaha...

Ngoja nirekebishe kidogo : Babu hapendi mwanamke anayeachia ushuzi unaonuka bila staha, tena hadharani.

Babu kuna wanawake wengine mabaunsa ukichelewa home kabla hujatoa maelezo unapokea kipigo cha mwizi hao je
 
Mwenzenu napenda mchuchu mweupe, mrefu, mwembamba (model), mchuchu msafi, mjanja, anaejua mapenz, mwenye kujali hisia zangu etc kifupi sipend madem wanene!

Hivi kama mnapendwa wa hivo kwanini usimtafute ili kupunguza kero ndogondogo:biggrin1:
 
mkubwa naona unapiga ndogo ndogo hapo kwa belinda....!

natumia bandiko hili kutoa ANGALIZO KUU....!

she is mine!...nimetoka nae mbali sana huyo niachie mimi mkuu...!we endelea na blackwomani

mfadihili wa kile chama cha ............
 
Leo hujamwamkia babu...why? Unataka kuchapwa bakora?

Babu samahani sikujua bado uko macho maana uliaga unaenda kulala na sikutaka kukusumbua!!
SHkamooo babu.....

Baada ya salamu naomba nikwambie ukweli sababu iliyonifanya nikucheleweshee chai asubuhi ya leo ni hu uzi wa MAMA WA JAMII...mjukuu wako alikua anaangalia uelekeo wa wakaka wa JF ili kama kuna anaemfaa amtokee kuomba uchumba maana amesubiri kuombwa yeye ila hajaambulia chochote.

Mpaka ameanza kuhisi labda sio mzuri wa sura kama wengi wanavyotaka...umbo nalo labda linahitaji marekebisho maana wengine hawakubaliani na nilililopewa na mh. juu ghorofani....tabia nayo inawezekana nahitaji kubadilika kidogo kwa kuongeza ucheshi hata kama ni wa mkopo....

Kuishia darasa la nne nako nadhani kunanipunguzia nafasi ya kumpata mwenzangu maana siku hizi wanaulizia cheti cha kuzaliwa na cha shule na vyote sina (hapa kama unaweza kunisaidia nipate hata vya bandia') mwisho natamani mchina angekua na dawa ya kuaminika ya kuongeza miguu ili hata wadada wenzake waache kunicheka!

Nasubiria maoni yako yaliyo muhimu sana kwangu!1

Mjukuu singo!!!
 
Mwanajamii ukitoka kwenye hii uweke ya kina dada utuulize na sie tunapenda nini sawa mama ..love you

Mi nataka hili dili mama wa kwanza!!!


Nimeona niulize hili swali hapa hapa maana linahusiana na majibu tuliyopata toka kwa wakaka...wababa na wababu kuhusiana na wanayotaka.... HIVI MNAPOKUA NA VIGEZO VYOTE HIVYO AMBAVYO MNAHITAJI/TAKA MWANAMKE AWE NAVYO ILI UWEZE KUTULIA NAE JE WEWE UNAKUA NA NINI KUOFFER????ISIJEKUA MNATAKA WANAWAKE WAZURI WA MAUMBO NA SURA NO VITAMBI NA MUGUU YA SINDANO WAKATI WEWE KITAMBI HATA MJA MZITO HAONI NDANI...MNATAKA WATU WAKWELI WATAKAOWAAMBIA HATA MARAFIKI ZENU WAKIJARIBU KURUSHA KARATA ZAO UPANDE WAO WAKATI NYIE MNAGAWA NAMBA ZENU KWA MASHOGA ZAO KIMYA KIMYA....MNATAKA AMBAO HAWATOKUA WASUMBUFU LINAPOKUJA SWALA LA MAWASILIANO NA ''MUDA BINAFSI'' WAKATI MNATOA KILA SABABU ZA KUTAFUTWA KILA SEKUNDE KWA KUTOELEWEKA NA MIENENDO YENU PIA KUTOWAPA WAO KIASI CHA MUDA WENU...

nwyyyy ningeweza kuendeleza mifano ila hiyo inatosha so my question to you is WHAT DO YOU HAVE TO OFFER IN EXCHANGE FOR ALL THAT YOU ASKING FROM US???
 
Mke mtulivu asiye na papara, mkweli, muwazi asiwe mtu wa kukaa na issue rohoni, mvumilivu, siye mlevi. Awe na miguu mizuri. Apende watoto na anipende mimi kupindukia....

Asiwe mwembamba sana, lakini hata akinenepa kama nilimkuta na figure ninayotaka , sitakuwa na tatizo.
Kwa kifupi awe kama mke wangu tu....:biggrin1:
 
Sidhani kama tabia itabadilisha kutoka nje ya ndoa! Kwa nini ninatoka...kwa sababu ya varieties! Leo kapita mtoto mwenye mapaja, kesho unaona mwenye macho, nk! Hata ukifanya nini, lazima ki-mwili nitavutwa kwa yule mwingine. Sio kwamba nampenda ni kwamba ninamtamani! Kwa hiyo ishu ni tamaa au kwa kiingereza wanaita lust!
 
Unajua kwa mfano eeh, mchuchu akiwa mtundu mtundu inakua poa sana. Mimi huwa napenda sana kucheza. Kwa mfano tukiwa nyumbani saa ingine ninaweza tu kukukimbiza kimbiza kama vile jogoo afanyavyo akiwa anataka kumega.

Sasa na mimi napenda kumkimbiza mwanamke wangu halafu nikimkamata nammega. Hii haiwezekani kama yeye hapendi kucheza.

Kucheza kwenye mapenzi kuna raha yake bana. Sio kila nyi mkitaka kumega routine inakuwa ile ile. Inaboa sana.
 

NN bana, kama nakuona hivi, kaingia uvunguni umemkamata....:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
NN bana, kama nakuona hivi, kaingia uvunguni umemkamata....:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Hiyo ndo yenyewe jombaaa. Yaani piga picha mwenyewe unamkimbiza.....mara karuka kwenye kochi.....mara kajificha kwenye closet halafu wewe unaanza kumtafuta na ukimpata tu unapiga bao.....hahahahaaaa raha tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…