Please Could You Be Honesty to Us?

Please Could You Be Honesty to Us?

......manumbu aksante sana. Duh yaani hii nilikuwa ninaisubiria kwa hamu very unfortunately huwa sina maelezo ya kuitolea zaidi ya kukiri udhaifu..pengine kama kuna mwanasaikolojia angetueleza saikolojia ya mwanamke maana duh......wanawake wengi sana tuna hii kitu aisee.yaani umekosewa, umeombwa msamaha but still bado utalisema asubuhi, mchana na jioni na bado kesho utalikumbushia na kisha tunaliweka bank tukisubiri tena tuchokozwe mwe!![/QUOTE]


sasa hapo MJ1 ndipo mnapoharibu sasa,
ukikutana na wale wasiopenda ngonjera, basi ndo ana ku write off kabisa,
ok, poleni kwa kuwa umesema hii ni weakness yenu akina mama!!!!
lakini si ndo unaona sasa inavyowakosti!!!!!!!!!!!
..Ndio maana tukasema leo tunaomba mtusaidie kutuweka sawa kwa kutupa yale madukuduku yenu ya kuroho..........mie nimejifunza sana hapa aisee.
 
In genaral mwanamke awe msafi,ajue kupika jikoni lakini pia na chumbani,asiwe na tamaa zilizopitiliza za kipuuzi(pesa,mali,n.k)she should love me very deep from her soul and not orally,also aithamini familia yangu (parents+ma siblings)....asiwe nyoka ndani ya mfuko wa unga......ntarudi baadaye ngoja niendelee kukumbuka.
 
napenda mwanamke msafi,mtundu kiasi,(kote kote)asiwe mpole kupitiliza,upeo mkubwa wa mambo,ASIYENUNA NUNA,na pia asiwe 'vuvuzela!'kwa moyo wangu wote nachukia mwanamke anaenuna badala ya kuniangalia usoni na kuniambia nilipokosea,sababu ni rahisi sana kwangu kuhamishia attention yangu yote kwenye Euro Champions League,Series za NBA na mambo kama hayo na kusahau kabisa kama yupo kama tu hataki 'kufunguka' kwangu.bora asiwe mzuri kitandani ila asiwe ananuna nuna na mwenye gubu aisee!
 
mume anamwambia wife niachie gari (alikuwa anaendesha dada) nitakupitia jioni kwa kuwa leo nitawahi kurudi, mdada likamtoka nikuachie gari yangu ukapakize viruka njia vyako huko (alitumia neno kali kidogo) .......!

May the holly spirit reveal to my girl what i will do to her siku kauli hii ikitoka kinywani mwake kunielekea!!
 
Kila mtu mtu ana vitu anavyovipenda..Vinaweza kufanana, lakini kuna uwezekano wa kuwa na tofauti kubwa kutokana na kwamba, watu wawili wanapokutana tabia zao kama 'mmoja mmoja' zinapotea, na wanatakiwa watengeneze tabia ya 'umoja' (Hapa ndio panahitaji utii,busara na unyenyekevu)..mtu unamwambia twende kushoto, yeye anakwenda kulia...????

Kwa upande wangu, kwa sababu nimemuona mzuri (machoni kwangu), hivyo kinachobaki ni 'qualities', na hizi ndio muhimu..

1.UTII - kama hawezi kunitii kile nichamwambia, ataniweka katika mazingira magumu
2.Upendo wa kumaanisha
3.Uelewa (Understanding)- atambue mimi kama mwanaume nina tabia za 'kiume', zinaweza zisibadilike na pia awe na uelewa wa mambo ya msingi
4. Aendelee kuwa mcha Mungu,na ajue bila mimi maisha yake yataendelea chini ya Mungu anayemuamini (kama sio mhudhuriaji wa nyumba za ibada, na mshiriki mzuri wa Mambo ya Mungu, kwangu mimi, ataniletea matatizo, maana najua atakuwa hana nidhamu toka rohoni..)
5.(usafi,ratiba,ajira,uchangamfu n.k ni 'added value')
6.Apunguze au aache umbea, na maneno mengi yasiyokuwa na maendeleo
7. Awe makini na kuzingatia mambo ili tutengeneze TABIA yetu..
8. Mawasiliano (communication) - ni muhimu;

Mbarikiwe
 
napenda mwanamke msafi,mtundu kiasi,(kote kote)asiwe mpole kupitiliza,upeo mkubwa wa mambo,ASIYENUNA NUNA,na pia asiwe 'vuvuzela!'kwa moyo wangu wote nachukia mwanamke anaenuna badala ya kuniangalia usoni na kuniambia nilipokosea,sababu ni rahisi sana kwangu kuhamishia attention yangu yote kwenye Euro Champions League,Series za NBA na mambo kama hayo na kusahau kabisa kama yupo kama tu hataki 'kufunguka' kwangu.bora asiwe mzuri kitandani ila asiwe ananuna nuna na mwenye gubu aisee!

Rubuye123 aksante sana.............nafikiri kwa wale ambao tumeshawahi kukutana na watu wenza wenye gubu basi tumekuelewa ipasavyo. kina dada jamani mnasikia?? Tujiepushe na sifa hizi ama sivyo tutakuwa tunalia kila uchao lol!
 
mume anamwambia wife niachie gari (alikuwa anaendesha dada) nitakupitia jioni kwa kuwa leo nitawahi kurudi, mdada likamtoka nikuachie gari yangu ukapakize viruka njia vyako huko (alitumia neno kali kidogo) .......!

May the holly spirit reveal to my girl what i will do to her siku kauli hii ikitoka kinywani mwake kunielekea!!

Duh kama nakuona yaaniw e acha tu kaka mie mwenyewe nilishikwa na kichomi cha uwoga but kwa kuwa hayakuwa yananihusu nikasepa haraka bila kutizama uso wa yule shemeji.
 
In genaral mwanamke awe msafi,ajue kupika jikoni lakini pia na chumbani,asiwe na tamaa zilizopitiliza za kipuuzi(pesa,mali,n.k)she should love me very deep from her soul and not orally,also aithamini familia yangu (parents+ma siblings)....asiwe nyoka ndani ya mfuko wa unga......ntarudi baadaye ngoja niendelee kukumbuka.

Duh hapo kwenye nyoka ndani ya mfuko wa unga umeniacha kando my darling ninakuomba unitoe ujinga
 
Quality ambayo huwa ni very rare kuikuta kwa wanawake, KUWA WAKWELI! Ooooh, kama unaelewa ninachomanisha, basi hiyo ndo wanaume karibu wote tunaitafuta kwa mwanamke lakini nakuhakikishia tulio wengi hatujaipata.

Ukweli na uwazi saa zote, ni tatizo kubwa kwa mwanamke! Sijawahi kumuona wa hivyo na nilishakata tamaa kutafuta! Huwa mnasema wanaume ni cheater? Wanawake ni both cheaters and liars!!! Ukweli na uwazi hakuna. Kwa aliyekwishakaa na mwanamke anaelewa hili!
 
Quality ambayo huwa ni very rare kuikuta kwa wanawake, KUWA WAKWELI! Ooooh, kama unaelewa ninachomanisha, basi hiyo ndo wanaume karibu wote tunaitafuta kwa mwanamke lakini nakuhakikishia tulio wengi hatujaipata.

Ukweli na uwazi saa zote, ni tatizo kubwa kwa mwanamke! Sijawahi kumuona wa hivyo na nilishakata tamaa kutafuta!
Duh wanawake wenzangu hili dongo zito hili...............aksante KipimaPembe tutajitahidi kuirekebisha katika hilo
 
Mimi the thing i hate most
ni mwanamke kunichunga chunga..........
I hate that..................

Nataka niwe free
i am a married bachelor lol
ha ha ha
 
Mi nataka hili dili mama wa kwanza!!!


Nimeona niulize hili swali hapa hapa maana linahusiana na majibu tuliyopata toka kwa wakaka...wababa na wababu kuhusiana na wanayotaka.... HIVI MNAPOKUA NA VIGEZO VYOTE HIVYO AMBAVYO MNAHITAJI/TAKA MWANAMKE AWE NAVYO ILI UWEZE KUTULIA NAE JE WEWE UNAKUA NA NINI KUOFFER????ISIJEKUA MNATAKA WANAWAKE WAZURI WA MAUMBO NA SURA NO VITAMBI NA MUGUU YA SINDANO WAKATI WEWE KITAMBI HATA MJA MZITO HAONI NDANI...MNATAKA WATU WAKWELI WATAKAOWAAMBIA HATA MARAFIKI ZENU WAKIJARIBU KURUSHA KARATA ZAO UPANDE WAO WAKATI NYIE MNAGAWA NAMBA ZENU KWA MASHOGA ZAO KIMYA KIMYA....MNATAKA AMBAO HAWATOKUA WASUMBUFU LINAPOKUJA SWALA LA MAWASILIANO NA ''MUDA BINAFSI'' WAKATI MNATOA KILA SABABU ZA KUTAFUTWA KILA SEKUNDE KWA KUTOELEWEKA NA MIENENDO YENU PIA KUTOWAPA WAO KIASI CHA MUDA WENU...

nwyyyy ningeweza kuendeleza mifano ila hiyo inatosha so my question to you is WHAT DO YOU HAVE TO OFFER IN EXCHANGE FOR ALL THAT YOU ASKING FROM US???
Lizzy mbona unauliza maswali kwa mlengo hasi sana........dah.
 
Duh kama nakuona yaaniw e acha tu kaka mie mwenyewe nilishikwa na kichomi cha uwoga but kwa kuwa hayakuwa yananihusu nikasepa haraka bila kutizama uso wa yule shemeji.

bora dadangu,ungetafutwa ushahidi bure,ni busara KUTOZUNGUMZA unapokua UMEKASIRIKA SANA au UMEFURAHI SANA!sababu mara nyingi katika hali hizi huwezi dhibiti hisia zako na kuna uwezekano mkubwa wa kufanya upuuzi kama huo wa shoga yako.by the way nafikiri kati ya mambo ya msingi kujadili kabla uhusiano haujaenda hatua nyingine ni namna tunavomiliki mali zetu na kujiwasilisha kwa jamii.kila nitafutacho/nipatacho ni 'CHETU'(mtazamo wangu) na ni muhimu sasa kujua mtazamo wake pia kwnye hili!
 
Tabia nyingine ya maudhi ni ile ya kutojiamini. Ushaolewa, maswali ya ex wangu ya nini?
 
Back
Top Bottom