Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 316
Hizo picha ndio ukweli halisi wa kile kinacho fanyika.
Sitakuchukia mkuu na wewe ukiahidi kufanya hivyo. Vile vile juwa kwamba upo huru kabisa kubadilisha msimamo wako.
Hivyo vitoto vinavyo nyofyolewa matumboni mwa mama zao ni binadamu, kama mimi na wewe. Tatizo ni kuwa havina uwezo wa kujitetea.
Ndugu yangu, dah! Yaani nashindwa hata namna ya kukujibu hapa...! Mmmh!
Hayo mamtatizo au hali ya uwezo wa kushindwa kupumua, kutoa uchafu na feelings, bado hazi-halalishi uhuwaji wa vichanga... Hali kama hizo ulizo ziorozesha hapo juu zinaweza kumkuta binadamu wa umri wowote aliye hai na haipelekei madaktari au ndugu wahusika kuamua kuwaangamiza wale wenye matatizo kama hayo.
Vipi ndugu zetu walio pata matatizo ya ugonjwa wa kupooza (kiharusi - paralysed) Tuwauwe wote kwa kuwa wamepoteza uwezo wa kujitegemea?
Kuwa na uwezo wa kujitetea sio swali mkuu. Tena umegusa point nzuri...watu waliopooza. Hapa wapo wa aina nyingi. Sasa tuongelee wale wanaoshindwa kupumua, hadi wanasaidiwa na mashine. Hapo madaktari si huwa wanaishauri familia wazime mashine? Hii si ilitokea hadi kwa baba wa taifa? Mngetaka mpaka leo angeweza kuendelea kuwa 'hai'. Sema ndo hivyo...he seizes to be a human. Kwa nini? Anashindwa kuji-support mwenyewe hata kwa basic function ya kupumua.
Kwa hiyo wewe unasema fetus ni mwanadamu? Na ni kitu gani kinamfanya awe mwanadamu kwa maoni yako?