Kuna dawa ya kumaliza paka. Nishawahi kuwa na hilo tatizo. Halafu wachache wakifa, wenzao watatoroka. Chukua dawa ya mende, ile nyeupe ya unga. Changanya na maziwa uwaachie nje wanapokaa usiku. Tumia kijiko kimoja kwa nusu glass ya maziwa fresh.
Kama ni Paka wa kwelikweli siyo paka watu ni rahisi tu,saga chupa ile supa saga kabisa changanya na maziwa mgando na ugali watengee kabisa sehemu wanakopigia kelele usiku,asubuhi hakikisha kama wamekula waongezee baada ya siku tatu au nne hutawasikia tena watakuwa wamekufa au wanauguza madonda ya chupa zilizonasa tumboni
angalia usije ukawateketeza jirani zako!!!