Pleasee eleweni siitaji tena mchumba na wala siitaji tena watu wanisumbue inbox ukihitaji mpenzi toa post

Pleasee eleweni siitaji tena mchumba na wala siitaji tena watu wanisumbue inbox ukihitaji mpenzi toa post

Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more.
Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry

Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.
Watu wamekanyaga waya tena, mbinguni tutafika tumechoka Kuna jamaa humu amefungua Uzi amepokonywa mke wakwe hawamtaki haujaisha hata miez5 wanamke kaolewa na njemba ingine. We nae hutaki mchumba. Vurugu tu Yani[emoji3]
 
Back
Top Bottom