ANKO JEI
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,302
- 2,462
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu njoo pm mrembo tuyajenge kiutu uzima. Si unamuona mwenzako Doreen anavyo faidi mapenzi motomoto kutoka kwa mzee wa Kiraracha?Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more.
Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry
Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.
Shida wengi wapo Mbali mnaachart halafu mwisho wa siku mtu yupo dodoma anakuchora tu.Hebu njoo pm mrembo tuyajenge kiutu uzima. Si unamuona mwenzako Doreen anavyo faidi mapenzi motomoto kutoka kwa mzee wa Kiraracha?
Mimi ukiniambia hata kesho nakuja tu huko uliko! Hata kama ni Tandahimba!Shida wengi wapo Mbali mnaachart halafu mwisho wa siku mtu yupo dodoma anakuchora tu.
Mwingine yupo Dar anakuchora tu.
Unaona ni bora uanze mahusiano kwa mtu aliye serious na wakaribu .
Binadam mtu mbad sanaWamepiga tukio na kusepaa!!
HayaMimi ukiniambia hata kesho nakuja tu huko uliko! Hata kama ni Tandahimba!
Maana nataka na mimi kabla ya mwaka huu kuisha nivute jiko kama rafiki yangu Lyatonga. Uzee na upweke vinanitesa sana mama.
Bravooo SYB himself,, German machine [emoji122][emoji122]Maumivu yakizidi kamuone daktari [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2185375
Mimi nimetoka kwa bwana hakyanani tens achana na hawa matapeli tafadhali jibu pm yangu. Usiku kucha silali kwa ajili yako.Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more.
Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry
Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.
Love is blind 🤍Hv ni nani anaweza kupenda mtu hamuoni,acha kujipa ma sifa ambayo hayana maana,yaani tuache kuzisumbua pisi kali tunazoziona laivu tuje tukusumbue ww na hatujui sura yako.
Huku jf WENGI wao washaoa ka unatafuta huku may be uombe uwe mke wa piliMume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry
Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.
Nakusubiri pm ili unipe location.Haya
Mwee wewe hawa wa jf ndio hao hao wa mtaani......wewe mume utoka kwa bwana kwa wale wanawake bikra tuu. Wee kama sio bikra tulizana na sie magubegube tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anataka kujipa matumaini ambayo hayapo🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Embu kunywa maji kwanza..Kisha utuelezee kwa uzuri
Wanasaikolojia inabidi wapambane sana kwa therapies za kila aina...na nadhani kuna vidonge pia japo sina uhakika sana.Huo ugonjwa matibabu yake yakoje [emoji848]
Tena mbaya sana. Omba sana usideti wala kuoa/kuolewa na mwenye huo ugonjwa. Hakuna rangi ambayo utaacha ona...Kumbe hio hali ni ugonjwa