Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Wamepiga tukio na kusepaa!!Watu washapiga tukio 🙄🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepiga tukio na kusepaa!!Watu washapiga tukio 🙄🙄🙄
Hapana walaHuyu si alisema anafunga ndoa, pia alikuwa anatafuta mchumba leo kabanduliwa nn harafu kaachiwa manyoya
Acha mataniMtoa mada anasema mume bora utoka kwa bwana.
Haya sasa KAZI kwenu
Bwana Utamu , BwanaMiti , Bwana Mapesa
Bwana PGO
Jamani jina lenyewe ua la pekee sasa watu wasije kuangalia maajabu ya ua?Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more.
Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry
Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.
Eti???Hahaaa ameona si sawa mwanamke kutafuta mchumba mwanamke anatafutwa. tokea lini egg ikafata sperm?
Lips. Are those yours?Relaaaaax..... hebu tuambie umepatwa na nini?
Arusha sehemu gani tuje wanakikundi cha NgaramatoniSijawahi pigwa tukio lolote nipo sawa tu natena na enjoy wewe upo Arusha uje unione ninavyosherekea hapa
Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more.
Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry
Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.