Pleasee eleweni siitaji tena mchumba na wala siitaji tena watu wanisumbue inbox ukihitaji mpenzi toa post

Pleasee eleweni siitaji tena mchumba na wala siitaji tena watu wanisumbue inbox ukihitaji mpenzi toa post

Asante kwa tangazo!!!! Tutakuja tu maana hakuna namna.
 
Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more.
Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry

Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.
Eh na bwana mnakutana wapi mpaka akupe huyo mume?
 
Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more.
Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry

Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.
Kwa hiyo ushapata au foleni kubwa..? Dada ukiwa mwanamke lazima utongozwe hivyo vumilia mitongozo. Na mume anakuja kati ya hao yupo wako sasa waletee dharau.
 
Back
Top Bottom