Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Angetenda Kuzikwa NaeU
UTakuta mimba yako ilitungwa baani na ukazaliwa gesti na kukua ukakulia ufipa na mto uliowahi kuuvuka ni mto mara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angetenda Kuzikwa NaeU
UTakuta mimba yako ilitungwa baani na ukazaliwa gesti na kukua ukakulia ufipa na mto uliowahi kuuvuka ni mto mara
Karibuu nchi nyingi zilitamani ziwe na Rais kama Magufuli nyie mnamsemam vibaya hivi. Kwli nabii haheshimiki kwao.Duh wewe unaota mchana kweupe, hata shada la maua halijakauka tunayabaini yaliyokuwa yamejificha ya kijambazi na wizi mkubwa.
Alituita wanyonge akafanya mambo kinyume cha katiba na ubabe kumbe lilikuwa lijizi libobezi la mali na liliiba ktk uchaguzi.
Tukiyajua yote, tutalitandika bakora lile kabuli lake na kuliwekea pingu lile kabuli ili panapo kufukuliwa tu akutane na pingu jambazi pia dikteta hilo bobezi
🖕🖕🖕Misukule kama BAK, Mshana Jr, Asprin, Behaviorist, Sky Eclat na wenzao lazima waje kutukana utasema JPM kawabebesha mimba na kuwakana. Wanahangaika mpaka unawaonea huruma JPM ni ukuta kumpinga ni kupoteza nguvu zako bure.
Msukule huna akili zaidi ya hii ndio mwisho wako wa kufikiri akili zimeshikwa na JPM. Anakupelekesha 🐕 wee.
Huyo bwana hata Wakenya wanamdharau sanaHuyo PLO kala maharage ya wapi? Ya Kisumu au ya Chato? Hivi pilipili asiyoila inamwashia nini? Namuomba akome kulichafua jina la Lumumba. Nilikuwa nikidhani ni mtu wa maana kumbe takataka tu. Kama anampenda dikteta uchwara kama mwendazake akanywe naye chai huko aliko.
una nini wewe,hata macho yako huyatumii,kama aliiba kwa kiasi hicho na huo ujenzi ameufanya na nini?Magufuli is the True son of Africa in PLO Lumumbas voice.Prof wa hovyo kabisa huyu. Analizalilisha ilo jina Lumumba
Kwahiyo unanilazimisha nimkubali Magufuli?una nini wewe,hata macho yako huyatumii,kama aliiba kwa kiasi hicho na huo ujenzi ameufanya na nini?Magufuli is the True son of Africa in PLO Lumumbas voice.
Lumumba ni mzalendo wa kweli Afrika. Kajidhihilishia hilo katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa Hayati Magufuli.
Machozi yanamtililika Kwa uchungu wa dhati. Kiukweli waafrika tumepoteza jembe.
Lumumba ni mzalendo wa kweli Afrika. Kajidhihilishia hilo katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa Hayati Magufuli.
Machozi yanamtililika Kwa uchungu wa dhati. Kiukweli waafrika tumepoteza jembe.
Lumumba ni mzalendo wa kweli Afrika. Kajidhihilishia hilo katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa Hayati Magufuli.
Machozi yanamtililika Kwa uchungu wa dhati. Kiukweli waafrika tumepoteza jembe.