PLO Lumumba apuuzwe kama maprofesa wengine wa Afrika

Jana ndiyo kajichimbia kaburi kabisa na sasa ukikutana naye atakuwa anaongea pekee yake kama kichaa wa Lumumba @ kipara kipya
Nadhani hilo jina la Lumumba huwa lina madhara kwenye bongo zao
 
Pamoja na mambo yote hayo, ila wazee wa chadema mshaurini Lissu atulie kulinda legacy yake......siku hizi cha kuogopwa ni technologia na Mungu tu basi...........anaongea mengi na mengine yeye kama mwanasiasa binafsi naona si sawa kulinda career yake.......maana Politiksi izi e deti gemu
 
Hana tofauti na Mbunge Msukuma. Anamzidi kingereza tu.
 
Ruta pole sana kaka. Naona huko mnapukutika kama mchwa.
 
Mambo yake anaachiwa mwenyewe... ukweli tunao wenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…