PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

NINAMSHAURI MH.TUNDU LISU HIVI😛amoja na yote yaliyomtokea na kupigwa Risasi,na Mungu Akamuokoa na mauti,Bible inatufundisha tusiweke kinyongo kwa MTU aliyekukosea(Don't keep on grudges against any body).Tukikosewa tunatakiwa tusamehe na tusonge mbele na maisha.Tukisamehe wenzetu NDIPO Mungu Atatusamehe na Sisi makosa yetu.Tundu LISU inaonekana Ana "bitterness kali Sana rohoni kutokana na kilichompata wakati HUO wa utawala wa RAIS Magufuli.Samehe TU Kaka yangu Tundu Lisu na Utaona jinsi Mungu atakavyokubariki.
 
..Profesa kaamua kusifia kila kitu.

..hata masuala ya demokrasia na haki za binadamu anasema Magufuli alikuwa sawasawa.

..kujikinga na corona, Prof anasema msimamo wa Magufuli ulikuwa sawa, isipokuwa vyombo vya habari vya kimagharibi havikumtendea haki Magufuli.

NB:

..Mjadala ungekuwa mzuri kama Lissu na Prof.Lumumba wangehojiwa kwa wakati mmoja, badala ya utaratibu aliotumika wa kuwahoji separately.
 
..Profesa kaamua kusifia kila kitu.

..hata masuala ya demokrasia na haki za binadamu anasema Magufuli alikuwa sawasawa.

..kujikinga na corona, Prof anasema msimamo wa Magufuli ulikuwa sawa, isipokuwa vyombo vya habari vya kimagharibi havikumtendea haki Magufuli.

NB:

..Mjadala ungekuwa mzuri kama Lissu na Prof.Lumumba wangehojiwa kwa wakati mmoja, badala ya utaratibu aliotumika wa kuwahoji separately.
Mkuu kamsikilize tena kweny ishu ya corona alivyoongea

Aliulizwa bad decision ya magu akajibu dealing with covid so hakukubaliana na magu hapo

Actually PLO lumumba amejibu vitu kwa usahihi hmna shida hapo

"The agenda of oppositions is to oppose without proposition". PLO Lumumba[emoji1241][emoji3578][emoji3578]
 
Mkuu kamsikilize tena kweny ishu ya corona alivyoongea

Aliulizwa bad decision ya magu akajibu dealing with covid so hakukubaliana na magu hapo

Actually PLO lumumba amejibu vitu kwa usahihi hmna shida hapo

"The agenda of oppositions is to oppose without proposition". PLO Lumumba[emoji1241][emoji3578][emoji3578]

..hukumsikia Prof akisema Tz ilichukua tahadhari sawa na zile walizochukua Sweden, Taiwan, na South Korea?

..Prof anamtetea Magufuli hata kwenye masuala ya demokrasia na haki za binaadamu.

..Kwa maoni yangu, ametumia nguvu kubwa mno kutetea legacy ya Magufuli kiasi cha kufikia kusema ni halali kwa mtawala kuwa " selectively ruthless. "

..Ukiona mtu analeta misamiati mpya ujue huyo hasemi ukweli, ni sawa na Waswahili wanaposema " muamba ngozi huvutia kwake. "
 
Apoteze mara ngapi? Hana hata akili ya kujua anamshambulia anatoka kanda yenye nguvu sana kisiasa..ina wapiga kura wengi sana. Hata kama kuna watu walikuwa wanam support huko wamepoteza kiongozi wao yeye ni kumshambulia..Subiri arudi huko tena ndio atajua ushawishi wake umeshuka kiasi gani.

..umesahau kuna kipindi Wasukuma walikuwa wanapigwa vita kwamba wameunda chama cha kikabila UDP ya John Cheyo?

..wakati Wasukuma wakipigwa vita, mikoa ya kusini ndio ilikuwa" kanda pendwa " kwasababu ccm ilikuwa ikihitaji kura za kusini.

..ninachojaribu kukutahadharisha hapa ni kwamba, ukiona kanda fulani inapendwa sana na ccm, basi ujue kuna wengine wametengwa na kubaguliwa.
 
PLO ni Mzushi tu ,anajua accounts zote za JIWE? Kwani Chato Airtport haipo? Burigi Park? Shamba Pori la Santos halipo?
Inaonekana hujitambui.wewe unatoka mkoa gani tukupatie miradi iliyojengwa kipindi chake. Jpm hadi kafufua na njia za reli zilizotelekezwa tangu kipindi cha nyerere kama vile Dar hadi Arusha na kwenyewe ni chato? Furaha yako ni kuona wananchi wa chato hawana mradi hata mmoja?.
 
Je CAG Prof Asad Alifika chato pia kufanya Analysis ya miradi ?
 
..hukumsikia Prof akisema Tz ilichukua tahadhari sawa na zile walizochukua Sweden, Taiwan, na South Korea?

..Prof anamtetea Magufuli hata kwenye masuala ya demokrasia na haki za binaadamu.

..Kwa maoni yangu, ametumia nguvu kubwa mno kutetea legacy ya Magufuli kiasi cha kufikia kusema ni halali kwa mtawala kuwa " selectively ruthless. "

..Ukiona mtu analeta misamiati mpya ujue huyo hasemi ukweli, ni sawa na Waswahili wanaposema " muamba ngozi huvutia kwake. "
Hyo ya taiwan na sweden ni issue ya kutokuweka wazi statics za covid

Ishu ya haki za binadam kuna haki gani umeikosa hapa mkuu au unaevidence yoyote kuhusu haki za binadam zizovunjwa???
 
Huyo mkenya Yuko obsessed na magufuli kiasi kwamba akiambiwa magufuli ameweka hifadhi ya wanyama, uwanja wa ndege, uwanja wa mpira, taa za barabarani kijijini na kujenga ikulu huko hawezi kuelewa chochote zaidi ya kutupia mijineno ya uongo ya kiingereza Cha wachawi anachobumba. Mpuuzi kabisa. Atuache
Mkoa gani hauna uwanja wa ndege?. Hifadhi ilikuwepo tangu enzi za ukoloni na katika hifadhi hiyo kulikuwa na majangili ya kila aina hadi kupelekea baadhi ya wanyama kutoweka. Katika kipindi chake ni miji mingi tu kwasasa imewekewa taa za bararani. Hakuna uwanja wa mpira uliokwisha jengwa kule. Cha mwisho nakusihi uache uongo Mungu anakuona.
 
Kuabudu mtu inakusaidia nini?
Kwanini wewe unamwanudu lisu halafu unauliza swali? Ni suala la muda tu siku moja wewe na lisu wako mtajilaumu kwa kitendo chenu cha kushambulia wananchi wa geita na kanda ya ziwa kwa ujmla. Mtu yeyote mwenye nia na doto za kutaka kuwa kiongozi hatakiwi kuwa mbaguzi.
 
Hyo ya taiwan na sweden ni issue ya kutokuweka wazi statics za covid

Ishu ya haki za binadam kuna haki gani umeikosa hapa mkuu au unaevidence yoyote kuhusu haki za binadam zizovunjwa???

..Magufuli alivuruga kila uchaguzi uliofanyika ktk kipindi cha utawala wake.

..Alianza kuvuruga chaguzi za marudio, akafuata wa serikali za mitaa, akahitimisha na uchaguzi mkuu wa 2020.
 
Lumumba hana mabadiliko yoyote aliyowahi kuchangia katika uchumi wake na uchumi wa Afrika licha Dunia, ukimsikiliza unachokiona ni maneno yakiingereza yaliyopakwa Nakshi. Mazingira ya Chato miaka mitano Leo hii kwa msomi mzalendo anaweza kutetea kilichofanyika? Lakini najiuliza lini alifika chato? Kwa ninavyomfahamu hakuna alipokanyaga bila media kuwa nyuma yake maana si kwa mbwembwe hizo.

Mfuatilie Lumumba kwenye uchaguzi wa Kenya uliopita utajua who his Lumumba
Kumbe humu wote wanaochangia ni malofa,, Hivi Africa nzima inalia kumpoteza the African Boy lakini chadema na rais wao zuzu Lissu bado wanaonyesha kuwa na chuki na maendeleo ya Tanzania hivi tuwaeleweje nyie wapuuzi?? Kisiasa mmekufa kabisa na hata hao wafadhili wenu mabeberu itabid watafute njia nyingine kwani kusema ukweli Magu kawaamsha watanzania na kwamba nia zenu za kuuza nchi na rasilimali zao kwa mabeberu ziko wazi hata watoto wa darasa la tano wanaona,, Mmeisha na hamna pa kuanzia hata mkawaita kina Halima Mdee ati the COVID 19 yaani hamna hata lugha ni pesa tu muuze nchi kwa mabeberu,,, Haitatokea uzeni lotion za ma-gays kusukumana choo huko Ubelgiji ila msizilete Tanzania
 
wahenga walisema kila mwamba ngoma huvutia kwake na ndicho alichofanya Prof Lumumba huyo ni teja kwa mwendazake hasikii haoni kila hoja ya ubaya wa mwendazake huitwist vizuri na mark up.
Acha ujuaji mara ngapi Plo ameenda kinyume na Magufuli, fuatilia mitazamo yake kuhusu korona
Alichosema ndio ukweli, penye ukweli husema
 
Back
Top Bottom