Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bahati mbaya maza naye yupo busy kuiba mali za bara anapeleka Ugunja kwa ndugu zake, miradi kibao imesisima hazina hakuna fedhaTatizo ni la wasifiaji. Hawasifii kwa udhati. Kuelekea uchaguzi mkuu watajitokeza wengi kumsifia ili waonekane wako naye ila wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi.
It's a sad storyHatuwezi kuendelea hata kdg, sijawahi kumuona yupo serious ameenda hata Mzumbe kwenda kufanya midahalo na wasomi apate mawazo mapya hakuna, babu mzima anapaka nywele kiwi huku akilipwa mabilioni ya walala hoi
Kuchekacheka tu na kusifia basi, uliza mshahara wake na posho kibao + kuiba mali za umma ni kufuru mzee hata Trump akasomeIt's a sad story
Your very very good reply ni kuanza na insultation? Yes hatuendelei miaka 60 ya uhuru bado unategemea mikopo kujiendesha, ikikata kabisa hatuna alternativeWewe utakuwa mbulula,hatuendelei? Are you serious?
Ulitegemea huyo chawa aongee tofauti na hivyo?My Take
Nakubalina na PM π― π―
Kwenye suala la Maendeleo Samia hana mshindani Kila mtu anaona huko aliko ππ
---
RAIS DKT. SAMIA NI TIBA YA MAENDELEO β MAJALIWA
βͺοΈ Waziri Mkuu asema Rais Dkt. Samia amedhamiria kutekeleza na kukamilisha miradi yote ya kimkakati.
βͺοΈ Aeleza kuwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi.
βͺοΈ Atoa wito kwa wananchi kuendelea kuiunga mkono CCM kwa weledi na uaminifu.
βͺοΈ Asisitiza kuwa CCM imeleta, inaleta na itaendelea kuleta maendeleo nchini.
βͺοΈ Asema chama hicho kinasema, kinaahidi na kinatekeleza.
Maswa, 16 Februari 2025 β Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni "tiba ya maendeleo" kwa Watanzania kutokana na jitihada zake za kusimamia utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayoboresha maisha ya wananchi.
Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Jimbo la Maswa Mashariki, uliofanyika katika Uwanja wa Nguzo Nane, Maswa, mkoani Simiyu, Waziri Mkuu amesema kuwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi mwenye maono makubwa, anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za Watanzania kwa ustadi wa hali ya juu.
"Rais Dkt. Samia amejidhihirisha kama kiongozi shupavu mwenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo. Anafanya kazi kwa bidii kuhakikisha miradi yote ya kimkakati inatekelezwa na kukamilika kwa wakati, huku akihakikisha wananchi wananufaika na huduma bora za kijamii," alisema Mhe. Majaliwa.
Aidha, Waziri Mkuu amesisitiza kuwa CCM itaendelea kuwa mstari wa mbele katika kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli, kwa kuwa ndicho chama chenye dira na dhamira ya kuwatumikia wananchi kwa weledi na uaminifu mkubwa.
"CCM ni chama kinachosema, kinaahidi na kinatekeleza. Tumekuwa tukitekeleza miradi mikubwa ya maendeleo katika sekta mbalimbali kama afya, elimu, miundombinu, maji na umeme. Chama hiki kimeleta maendeleo, kinaendelea kuleta maendeleo na kitaendelea kuongoza kwa maendeleo," alisisitiza Waziri Mkuu.
Aliwataka wananchi waendelee kuiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM kwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo na kuhakikisha miradi inayotekelezwa inakuwa na tija kwa jamii.
Imetolewa na:
Idara ya Siasa na Uenezi
Chama Cha Mapinduzi (CCM) β Mkoa wa Simiyu
Jadili hoja Wacha kuwa kitukoUlitegemea huyo chawa aongee tofauti na hivyo?
Kusifia sio hoja bali ni kujipendekeza.Jadili hoja Wacha kuwa kituko
Amesifia kitu gani?Kusifia sio hoja bali ni kujipendekeza.
Unauliza au unapigia jibu mstari?Amesifia kitu gani?
Kabeba maono yepi?Ndio maana ya kuwa na Rais Mbeba maono.
Sasa wewe unatakaje?
Jizi lingine hilo miongoni mwa majuzi!View attachment 3239046
Jembe JPM
Bado hujasema Hadi useme π πKusifia sio hoja bali ni kujipendekeza.
Ni mjinga na mpumbavu ndiye anaweza kumfananisha mgawa pesa na kibarua! Pesa anazoshika Samia ni za kodi zetu ambazo zinatakiwa zitumike kwa maendeleo yetu watanzania ni si vinginevyo, kuwataka tusiowapa kodi zetu watuletee maendeleo ni ujuha na wehu, yaani watoe pesa mifukoni mwao wajenge shule! Ni wazo la kijinga na hata yeye Majaliwa hana uwezo huo wa kuiendesha nchi kwa mshahara wake.My Take
Nakubalina na PM π― π―
Kwenye suala la Maendeleo Samia hana mshindani Kila mtu anaona huko aliko ππ
---
RAIS DKT. SAMIA NI TIBA YA MAENDELEO β MAJALIWA
βͺοΈ Waziri Mkuu asema Rais Dkt. Samia amedhamiria kutekeleza na kukamilisha miradi yote ya kimkakati.
βͺοΈ Aeleza kuwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi.
βͺοΈ Atoa wito kwa wananchi kuendelea kuiunga mkono CCM kwa weledi na uaminifu.
βͺοΈ Asisitiza kuwa CCM imeleta, inaleta na itaendelea kuleta maendeleo nchini.
βͺοΈ Asema chama hicho kinasema, kinaahidi na kinatekeleza.
Maswa, 16 Februari 2025 β Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni "tiba ya maendeleo" kwa Watanzania kutokana na jitihada zake za kusimamia utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayoboresha maisha ya wananchi.
Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Jimbo la Maswa Mashariki, uliofanyika katika Uwanja wa Nguzo Nane, Maswa, mkoani Simiyu, Waziri Mkuu amesema kuwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi mwenye maono makubwa, anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za Watanzania kwa ustadi wa hali ya juu.
"Rais Dkt. Samia amejidhihirisha kama kiongozi shupavu mwenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo. Anafanya kazi kwa bidii kuhakikisha miradi yote ya kimkakati inatekelezwa na kukamilika kwa wakati, huku akihakikisha wananchi wananufaika na huduma bora za kijamii," alisema Mhe. Majaliwa.
Aidha, Waziri Mkuu amesisitiza kuwa CCM itaendelea kuwa mstari wa mbele katika kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli, kwa kuwa ndicho chama chenye dira na dhamira ya kuwatumikia wananchi kwa weledi na uaminifu mkubwa.
"CCM ni chama kinachosema, kinaahidi na kinatekeleza. Tumekuwa tukitekeleza miradi mikubwa ya maendeleo katika sekta mbalimbali kama afya, elimu, miundombinu, maji na umeme. Chama hiki kimeleta maendeleo, kinaendelea kuleta maendeleo na kitaendelea kuongoza kwa maendeleo," alisisitiza Waziri Mkuu.
Aliwataka wananchi waendelee kuiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM kwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo na kuhakikisha miradi inayotekelezwa inakuwa na tija kwa jamii.
Imetolewa na:
Idara ya Siasa na Uenezi
Chama Cha Mapinduzi (CCM) β Mkoa wa Simiyu
Jikite kwenye hoja ya Samia kuleta maendeleo acha porojo za chuki.Ni mjinga na mpumbavu ndiye anaweza kumfananisha mgawa pesa na kibarua! Pesa anazoshika Samia ni za kodi zetu ambazo zinatakiwa zitumike kwa maendeleo yetu watanzania ni si vinginevyo, kuwataka tusiowapa kodi zetu watuletee maendeleo ni ujuha na wehu, yaani watoe pesa mifukoni mwao wajenge shule! Ni wazo la kijinga na hata yeye Majaliwa hana uwezo huo wa kuiendesha nchi kwa mshahara wake.