Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Jikite kwenye hoja ya Samia kuleta maendeleo acha porojo za chuki.
View: https://www.instagram.com/p/DGfYoohNZDr/?igsh=OTJheW13OHVycHpv
Bila kodi zetu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye hoja ya Samia kuleta maendeleo acha porojo za chuki.
View: https://www.instagram.com/p/DGfYoohNZDr/?igsh=OTJheW13OHVycHpv
Shida sio Kodi zenu Bali matumizi ya hizo Kodi zenu.Bila kodi zetu!
Sawa, hebu eleza jinsi hao ambao hatujawapa kodi zetu walivyoweza kuzitumia vibaya hizo kodi zetu, hapo tutaweza kufananisha walivyoweza kutuletea au kutokutuletea maendeleo japo wote tuliwapa pesa sawa.Shida sio Kodi zenu Bali matumizi ya hizo Kodi zenu.
Pia hakuna anaelipa Kodi Kwa hiari Bali ni takwa la kisheria
Mifano Iko Mingi sana eg umewahi ona ripoti ya CAG ikisema rushwa imepungua kwenye awamu hizo?Sawa, hebu eleza jinsi hao ambao hatujawapa kodi zetu walivyoweza kuzitumia vibaya hizo kodi zetu, hapo tutaweza kufananisha walivyoweza kutuletea au kutokutuletea maendeleo japo wote tuliwapa pesa sawa.
Hawa wote na aliyepo nani ameweza kubadili maisha yetu, naona bado tupo kwenye mlo mmoja usio na uhakika.Mifano Iko Mingi sana eg umewahi ona ripoti ya CAG ikisema rushwa imepungua kwenye awamu hizo?
Pili ni akili za wapi kutumia 27T kujenga Sgr harafu ukaacha Nchi Ina 80% ya Barabara za mavumbi na hazipotiki?
Hiyo ni mifano ya watu wasio na akili.
Walau JK na Samia ndio wameweza Kwa vitendo.Hawa wote na aliyepo nani ameweza kubadili maisha yetu, naona bado tupo kwenye mlo mmoja usio na uhakika.
Heri yako unayepata bahasha ya uchawa.Walau JK na Samia ndio wameweza Kwa vitendo.
Mkapa na Mwinyi waliweka msingi,yule mwingine aliharibu Uchumi
Bahasha gani tena? Mimi sipati kokote nalima nauza na bei ni nzuri Kwa nini nisifurahie Samia?Heri yako unayepata bahasha ya uchawa.
Yaani unalima wewe kisha unamshukuru mama Samia kwa kupata mazao! Sina fungu la kukuweka.Bahasha gani tena? Mimi sipati kokote nalima nauza na bei ni nzuri Kwa nini nisifurahie Samia?
Premier Chawa, naye huyo ni chawa tu kama chama wengine.My Take
Nakubalina na PM 💯 💯
Kwenye suala la Maendeleo Samia hana mshindani Kila mtu anaona huko aliko 👇👇
---
RAIS DKT. SAMIA NI TIBA YA MAENDELEO – MAJALIWA
▪️ Waziri Mkuu asema Rais Dkt. Samia amedhamiria kutekeleza na kukamilisha miradi yote ya kimkakati.
▪️ Aeleza kuwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi.
▪️ Atoa wito kwa wananchi kuendelea kuiunga mkono CCM kwa weledi na uaminifu.
▪️ Asisitiza kuwa CCM imeleta, inaleta na itaendelea kuleta maendeleo nchini.
▪️ Asema chama hicho kinasema, kinaahidi na kinatekeleza.
Maswa, 16 Februari 2025 – Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni "tiba ya maendeleo" kwa Watanzania kutokana na jitihada zake za kusimamia utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayoboresha maisha ya wananchi.
Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Jimbo la Maswa Mashariki, uliofanyika katika Uwanja wa Nguzo Nane, Maswa, mkoani Simiyu, Waziri Mkuu amesema kuwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi mwenye maono makubwa, anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za Watanzania kwa ustadi wa hali ya juu.
"Rais Dkt. Samia amejidhihirisha kama kiongozi shupavu mwenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo. Anafanya kazi kwa bidii kuhakikisha miradi yote ya kimkakati inatekelezwa na kukamilika kwa wakati, huku akihakikisha wananchi wananufaika na huduma bora za kijamii," alisema Mhe. Majaliwa.
Aidha, Waziri Mkuu amesisitiza kuwa CCM itaendelea kuwa mstari wa mbele katika kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli, kwa kuwa ndicho chama chenye dira na dhamira ya kuwatumikia wananchi kwa weledi na uaminifu mkubwa.
"CCM ni chama kinachosema, kinaahidi na kinatekeleza. Tumekuwa tukitekeleza miradi mikubwa ya maendeleo katika sekta mbalimbali kama afya, elimu, miundombinu, maji na umeme. Chama hiki kimeleta maendeleo, kinaendelea kuleta maendeleo na kitaendelea kuongoza kwa maendeleo," alisisitiza Waziri Mkuu.
Aliwataka wananchi waendelee kuiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM kwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo na kuhakikisha miradi inayotekelezwa inakuwa na tija kwa jamii.
Imetolewa na:
Idara ya Siasa na Uenezi
Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Mkoa wa Simiyu
Chawa wa maendeleoPremier Chawa, naye huyo ni chawa tu kama chama wengine.
Unajitoa ufahamu 😂😂Yaani unalima wewe kisha unamshukuru mama Samia kwa kupata mazao! Sina fungu la kukuweka.
Uko viwango vingine.Unajitoa ufahamu 😂😂
-Uhakika wa soko ,sera zinazotuhakikishia bei nzuri
-Suppoet ya pembejeo za ruzuku
Una swali jingine? 🤪🤪