Pre GE2025 PM Majaliwa: Rais Samia ni Tiba ya Maendeleo, hakuna mbadala

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shida sio Kodi zenu Bali matumizi ya hizo Kodi zenu.

Pia hakuna anaelipa Kodi Kwa hiari Bali ni takwa la kisheria
Sawa, hebu eleza jinsi hao ambao hatujawapa kodi zetu walivyoweza kuzitumia vibaya hizo kodi zetu, hapo tutaweza kufananisha walivyoweza kutuletea au kutokutuletea maendeleo japo wote tuliwapa pesa sawa.
 
Sawa, hebu eleza jinsi hao ambao hatujawapa kodi zetu walivyoweza kuzitumia vibaya hizo kodi zetu, hapo tutaweza kufananisha walivyoweza kutuletea au kutokutuletea maendeleo japo wote tuliwapa pesa sawa.
Mifano Iko Mingi sana eg umewahi ona ripoti ya CAG ikisema rushwa imepungua kwenye awamu hizo?

Pili ni akili za wapi kutumia 27T kujenga Sgr harafu ukaacha Nchi Ina 80% ya Barabara za mavumbi na hazipotiki?

Hiyo ni mifano ya watu wasio na akili.
 
Mifano Iko Mingi sana eg umewahi ona ripoti ya CAG ikisema rushwa imepungua kwenye awamu hizo?

Pili ni akili za wapi kutumia 27T kujenga Sgr harafu ukaacha Nchi Ina 80% ya Barabara za mavumbi na hazipotiki?

Hiyo ni mifano ya watu wasio na akili.
Hawa wote na aliyepo nani ameweza kubadili maisha yetu, naona bado tupo kwenye mlo mmoja usio na uhakika.
 
Hawa wote na aliyepo nani ameweza kubadili maisha yetu, naona bado tupo kwenye mlo mmoja usio na uhakika.
Walau JK na Samia ndio wameweza Kwa vitendo.

Mkapa na Mwinyi waliweka msingi,yule mwingine aliharibu Uchumi
 
Premier Chawa, naye huyo ni chawa tu kama chama wengine.
 
Yaani unalima wewe kisha unamshukuru mama Samia kwa kupata mazao! Sina fungu la kukuweka.
Unajitoa ufahamu πŸ˜‚πŸ˜‚
-Uhakika wa soko ,sera zinazotuhakikishia bei nzuri
-Suppoet ya pembejeo za ruzuku

Una swali jingine? πŸ€ͺπŸ€ͺ
 
!kikamilisha miradi ya Reli ya SGR kufika kanda ya ziwa na Kigoma nimekaa paleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…