Ni wale wanaopata mitongozo kwa kuotea ndo maana anaona ajabu. [emoji85] [emoji85] [emoji85]Mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida sana na inashangaza mtoa mada kuona ni kitu cha ajabu
Asante kwa kuipenda mkuu japokua nimeikop kwakoYes mkuu, mkuu nimependa signature yako
Jesus is my saviour and a friend
Asante mkuu najua umeipenda ndo maanaAsante kwa kuipenda mkuu japokua nimeikop kwako
Jesus is my friend and saviour
itakua anawahimili wotekabisa ndugu mbona faiza foxy halalamikagi???
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Inawezekana kweli ila nahisi tu kashaweka mind mbaya kichwani kuwa kila mtongozaji ni mla k na kusepa. Anasahau kuwa ndoa zilianza na mitongozo kama iyo anayokutana nayo.Ni wale wanaopata mitongozo kwa kuotea ndo maana anaona ajabu. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Jesus is my saviour and a friend
u very right shemIla kutongoza au kutongozwa sio dhambi. Ni haki ya mtongozwa kusema yes au no mambo ingine inafuatwa
OVA
Jesus is my saviour and a friend
Yaaah na ndo maana nikaikopAsante mkuu najua umeipenda ndo maana
Jesus is my saviour and a friend
Samahani sana naomba kujua pm ni kitu ganiHii ni kwasababu kila mdada anapotupia Uzi kwenye jukwaa la MMU lazima akutane meseji za mtongozo pm zaidi ya moja.
Kuna baadhi ya wanaume wapo hapa kwaajili ya kuvizia k tu.
Hivi mnachukia kabisa kutoka moyoni mkitongozwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukweli mchungu. Subiri uone wantakavyo panic
Labda ila sio mimi mkuu sijawah chukia kbsa[emoji12]Hivi mnachukia kabisa kutoka moyoni mkitongozwa?
Post sent using JamiiForums mobile app
ayaaaa ushaniharibia mkuu[emoji12] [emoji12] [emoji12]Wanawake weak wanaogopa saaana kutongozwa. Ukiona unaogopa kutongozwa ujue wewe ni beans ya Mbeya maji Mara moja unaivaa *****
Hujafundwa wewe !! kutongozwa ni siri ya mtongozaji na mtongozwajiHii ni kwasababu kila mdada anapotupia Uzi kwenye jukwaa la MMU lazima akutane meseji za mtongozo pm zaidi ya moja.
Kuna baadhi ya wanaume wapo hapa kwaajili ya kuvizia k tu.
mwanamke kutongozwa is direct proportional na mwanaume kutongozaHii ni kwasababu kila mdada anapotupia Uzi kwenye jukwaa la MMU lazima akutane meseji za mtongozo pm zaidi ya moja.
Kuna baadhi ya wanaume wapo hapa kwaajili ya kuvizia k tu.
Kama ulivyonifungiaUkiona usumbufu jifungie tu pm
😀mwanamke kutongozwa is direct proportional na mwanaume kutongoza
find the value of "K"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, yako imewahi kubakwa na jamaa wa humu??kuna vibaka wa k sana humu
Pata NOTES za masomo ya BLOG kwa lugha ya Kiswahili kwa bei ya OFFER!!!Hii ni kwasababu kila mdada anapotupia Uzi kwenye jukwaa la MMU lazima akutane meseji za mtongozo pm zaidi ya moja.
Kuna baadhi ya wanaume wapo hapa kwaajili ya kuvizia k tu.
hapana ilisalimika dakika ya mwishoMkuu, yako imewahi kubakwa na jamaa wa humu??