PM za wadada wengi wa MMU zimejaa meseji za mitongozo

we jaman Monica ebu nifundishe jinsi ya kutongoza mwenzio domo zege mie.
 
Nenda shule kasome wewe acha ujinga
KUTONGOZA ni ujinga? basi wanaume mpaka aliyekuoa kama kweli, maaana ssiamini km umeoelewa maana waischana wa dar na ndoa sawa na tajiri na mbingu.
 
KUTONGOZA ni ujinga? basi wanaume mpaka aliyekuoa kama kweli, maaana ssiamini km umeoelewa maana waischana wa dar na ndoa sawa na tajiri na mbingu.
Kutongoza hovyo ni ukosa akili au ni sawa na kumkabidhi shetani akushikie akili zako.

Mwenye akili inayoongozwa na Mungu kutongoza mwanamke mmoja tu kwaajili ya kula.
 
Kutongoza hovyo ni ukosa akili au ni sawa na kumkabidhi shetani akushikie akili zako.

Mwenye akili inayoongozwa na Mungu kutongoza mwanamke mmoja tu kwaajili ya kula.
kumbe mnatongozwa ili mliwe? mbona hamuishi, maana sifa ya kinacholiwa huwa kinaisha, MONICC aliye kuoa, anakukula au anakugegeda tu?
 
Hahha watu wanapiga za uso sister alikurupuka kuandika nyuzi.
 
Blue: Wanaume wasipovizia mademu ili wawatafune, unataka wavizie mitetea au mbuzi??

Red: Aliyekuambia mademu wa JF hawako mitaani ni nani? Au unadhani mademu wa JF tukikutoa wewe wako sayari ya Mars??
Hahahahaha! Mbavu zangu mie jamaniiiiii.
 
Blue: Wanaume wasipovizia mademu ili wawatafune, unataka wavizie mitetea au mbuzi??

Red: Aliyekuambia mademu wa JF hawako mitaani ni nani? Au unadhani mademu wa JF tukikutoa wewe wako sayari ya Mars??[/QUOTE
Mkuu relax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…